mnyamweziog
Senior Member
- Nov 7, 2016
- 169
- 251
Angekuwa kama wema wangemsema now anaolewa pia wanamsema, wanaume wa Jf wanapenda sana kukandia wanawake, wakimaliza hapo ndo wa kwanza kuja kutusumbua vitandanHadi wewe mkuu?Kwahiyo mlitaka aendelee kuzini ili mmuite malaya?
We lina kuhsu nin swala Lake LA mtoto au unataka kumpa mimba [emoji12]Suala la mtoto veepe
Nifah huchelewagi🙂Huyo ndiye shemela mpya?
Kama ni kweli ni jambo la kheri,hongera zao.
Na hili liwe fundisho kwa ving'ang'anizi wa mahusiano yaliyokufa.
Maisha lazima yaendelee,lakini mahusiano mfu hayawezi kuendelea.
Period
GoodMsanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar
Uyo mrasta ataweza kupiga mpini kweli? Mbona kama kachoka sana?Msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar
Achelewi mwenyewe anapenda heshima.
Naomba kujua neno shemela tafadhariHuyo ndiye shemela mpya?
Kama ni kweli ni jambo la kheri,hongera zao.
Na hili liwe fundisho kwa ving'ang'anizi wa mahusiano yaliyokufa.
Maisha lazima yaendelee,lakini mahusiano mfu hayawezi kuendelea.
Period
Huyu naye asije kuwa mkojozaji kama aliyepita.
Acha akojozwe tu maana hamna namna nyngne tenaHuyu naye asije kuwa mkojozaji kama aliyepita.
Aachane na wanaume wazee ajisakie dogo dogo amhifadhi kazi moja tu kumkuna hawa wanaume waliokomaa hawafai wataishia kula mzigo nakusepa.Msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar
Gardner........Mkojozaji ndio mtu wa aina gani mkuu?
walikuambia kua hapo wapo honeymoon au ni umbea wako tu.Achelewi mwenyewe anapenda heshima.
Duh! Tukunyema, hilo neno la zamani umenikumbusha best😀Ulitaka wawe vipi na wewe?Sio wote wanaopenda mitukunyema,hebu tupumzisheni na miili yetu.
Ishakuwa taabu...