Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

Safiiii gooo komando bora wewe mfano mzur sio kina naniliu wanavuliwa pichu na vitoto vidogo vinaishia kuwa dhalilisha mitandaoni
 
Huyo ndiye shemela mpya?
Kama ni kweli ni jambo la kheri,hongera zao.
Na hili liwe fundisho kwa ving'ang'anizi wa mahusiano yaliyokufa.
Maisha lazima yaendelee,lakini mahusiano mfu hayawezi kuendelea.
Period
Nifah huchelewagi🙂
 
Msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar

327fecbe743ceabe3afb0136b3bd157c.jpg

2f1f45b7a0fc6ddd4c97543ee292c4b3.jpg
Good
 
Msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar

327fecbe743ceabe3afb0136b3bd157c.jpg

2f1f45b7a0fc6ddd4c97543ee292c4b3.jpg
Uyo mrasta ataweza kupiga mpini kweli? Mbona kama kachoka sana?
 
Huyo ndiye shemela mpya?
Kama ni kweli ni jambo la kheri,hongera zao.
Na hili liwe fundisho kwa ving'ang'anizi wa mahusiano yaliyokufa.
Maisha lazima yaendelee,lakini mahusiano mfu hayawezi kuendelea.
Period
Naomba kujua neno shemela tafadhari
 
Msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar

327fecbe743ceabe3afb0136b3bd157c.jpg

2f1f45b7a0fc6ddd4c97543ee292c4b3.jpg
Aachane na wanaume wazee ajisakie dogo dogo amhifadhi kazi moja tu kumkuna hawa wanaume waliokomaa hawafai wataishia kula mzigo nakusepa.
 
Back
Top Bottom