Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

Lady Jay Dee afunga ndoa tena?

Huyo waliyekaa naye mbona kafanana kama yule aliyekuwa anagombea Ubunge Morogoro Mjini kwa tiketi ya chama cha ACT Wazalendo
 
Anapoteza time tu
Leo kafunga kimya kimya zikianza figisu figisu kwenye ndoa yake ataanza kupost Instagram na kwenye media zingine
 
Hongera yake, ninachokipenda kwa huyu dada ni msiri sana, wanawake wote tungekuwa hivi, mambo yangekuwa raha sana, ila wengine kila kukicha kupost relationship status zetu kwa mitandao, yakiwakuta ya kuwakuta aibu unakuwa kwao, nadhani nitaanza kuiga mfano wake sasa, big up jide
 
Msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa kina dada binti machozi, komamdo, anaconda, lady jay dee amefunga ndoa weekend hii kupitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honey moon uko Zanzibar

327fecbe743ceabe3afb0136b3bd157c.jpg

2f1f45b7a0fc6ddd4c97543ee292c4b3.jpg
we mshipa uchochez wa nn sasa..?
 
Mvinyo mpya kwenye kiriba cha zamani...tunalewa kweli kweli
 
Back
Top Bottom