Kwakweli the guy is handsome. Amuweke mbali na wadada wa mjinikaka mzuri huyu, walah jide ukizubaa utaibiwa
Ni pm .. Na mm ni toluuuYaani huyu jamaa ni handsome .. sasa leo nilipomuona IG na hiyo height ya kumuweka gal kifuani... nachanganyikiwa kabisa. Nawependaje ma- tolu
Huyo ndiye shemela mpya?
Kama ni kweli ni jambo la kheri,hongera zao.
Na hili liwe fundisho kwa ving'ang'anizi wa mahusiano yaliyokufa.
Maisha lazima yaendelee,lakini mahusiano mfu hayawezi kuendelea.
Period
kaka mzuri huyu, walah jide ukizubaa utaibiwa
kama mimi?For really...
Huyu kaka anamvuto jamani.
Uzuri WA matolu hata mizigo chini inakuwa imeshiba, kitu kinagusa hadi kwenye mainiYaani huyu jamaa ni handsome .. sasa leo nilipomuona IG na hiyo height ya kumuweka gal kifuani... nachanganyikiwa kabisa. Nawependaje ma- tolu
Nje ya madawasanii wa kike wanapata changamoto kubwa ya ndoa,wengi huchezewa na kumwagwa
Full time united 3 arsenal 1.Huyo ndiye shemela mpya?
Kama ni kweli ni jambo la kheri,hongera zao.
Na hili liwe fundisho kwa ving'ang'anizi wa mahusiano yaliyokufa.
Maisha lazima yaendelee,lakini mahusiano mfu hayawezi kuendelea.
Period
[emoji23] [emoji23] [emoji23] bado dakika 5 game ianze mkuu,acha mbwembwe.Full time united 3 arsenal 1.
Samahani lakini.
Hahaha noma sanaaaa afu no kitambiiii watamujeeeUzuri WA matolu hata mizigo chini inakuwa imeshiba, kitu kinagusa hadi kwenye maini
Mkuu, ya Mungu mengi.Suala la mtoto veepe
OkInadaiwa kuwa msanii nguli na namba moja nchini kwa upande wa akina dada, Binti machozi, Komando, Anaconda, Lady Jaydee amefunga ndoa weekend hii.
upitia mtandao wa I.G amepost baadhi ya picha akila honeymoon huko Zanzibar.