Hajaukana ukurya bali amesema yeye ni kabila gani na kwa kuonyesha kuwa hata angekuwa mkurya angejivunia tu kwani ndiyo kabila lake. Nadhani hii haina ubishi na amekuwa very positive for those who would like to read carefully between the lines!!!If 2+2 = 4 and 2X 2 = 4
then what is the logic in this statement ?.
same like saying:
2 x 0 =0 Or 0 x 2 = 0
Kulikua na haja gani ya yeye kuukana Ukurya, wakati huo huo anaonyesha kuutetea Ukurya?? kipi kinachofanya "Msizaki" kuwa bora zaidi kuliko Mkurya huko Musoma?..
Brain washed!
labda anunue ungo!! Bwahahahhahahhah!!!!!!!.... maselebritizi wetu na mindoto ya alinacha..shule muhimu atiii!!Nunua ile ndege yako JD ili watu wakurudishie heshima yako!
.... Nimesoma Tarime Sec Mambo niliyoyashuhudia hapo Tarime ni ya kuwaachia wao tu! Nimeona mke amekatwa panga kichwani alikuwa amebeba mtoto mgongoni na mtoto akapitiwa and its just a trivial domestic scuffle jamaa anabebea mke panga! What a stonyhearted people!!!!!!!
Makundi hayo kama nilivyoyaainisha wanaongea lugha moja bila ya kuhitaji mkalimani. Wanatofautiana matamshi tu. Mila na desturi ni zilezile isipokuwa matambiko tu!
I am proud to be a kurya, so what?
Kaka kadiri ninavyoelewa miye BAZAZI hao ni kabila linalojitegemea na lina asili moja ya watutsi (yaani WAHIMA). Jina hilo la ZANAKI walipewa na wajita likiwa na maana ya wamekuja na nini (waza-naki?). Kumbuka hawa ni wafugaji na hivyo kuheshimu sana mifugo ilhali wajita ni wakulima wakithamini zaidi mazao ya shambani. Unakumbuka Rev. Mtikila aliwahi kusema Mwl Nyerere ni mtutsi, asili ya dai hilo ni hiyo scenario hapo juu. Chambua uamue<font face="Arial">Mengi ya yanayojiita makabila kule Mara ni KOO tu. Wazanaki,
Kaka kadiri ninavyoelewa miye BAZAZI hao ni kabila linalojitegemea na lina asili moja ya watutsi (yaani WAHIMA). Jina hilo la ZANAKI walipewa na wajita likiwa na maana ya wamekuja na nini (waza-naki?). Kumbuka hawa ni wafugaji na hivyo kuheshimu sana mifugo ilhali wajita ni wakulima wakithamini zaidi mazao ya shambani. Unakumbuka Rev. Mtikila aliwahi kusema Mwl Nyerere ni mtutsi, asili ya dai hilo ni hiyo scenario hapo juu. Chambua uamue
Nina hakika wewe haujawahi kukasirika, kwa sababu wewe hutoki Mara.Hasira ni moja ya sifa za watu wa Mara ,so our Ms Wambura ni moja ya hulka yake nadhani ni sio sahihi kuchukia anapo ji eskresi kwa hasira!
Hujamuelewa................. Ni kwamba.........Nina hakika wewe haujawahi kukasirika, kwa sababu wewe hutoki Mara.
Kaka kadiri ninavyoelewa miye BAZAZI hao ni kabila linalojitegemea na lina asili moja ya watutsi (yaani WAHIMA). Jina hilo la ZANAKI walipewa na wajita likiwa na maana ya wamekuja na nini (waza-naki?). Kumbuka hawa ni wafugaji na hivyo kuheshimu sana mifugo ilhali wajita ni wakulima wakithamini zaidi mazao ya shambani. Unakumbuka Rev. Mtikila aliwahi kusema Mwl Nyerere ni mtutsi, asili ya dai hilo ni hiyo scenario hapo juu. Chambua uamue
Tena hiyo mila ya kutahiri wanawake ndio inayowaunganisha hasa hayo "makabila" ya Kikurya. Wajita wanatahiriwa wanaume tu. Wajaluo wao ni "watu wazima". Hawatahiri wanaume wala wanawake!........Kama wote wanaongea lugha moja na mila na desturi ni zile zile basi wote ni wakurya na hizo nyingine kweli ni koo tu.
Vipi kuhusu na ile mila yao ya kutahiri wanawake wote hao wanaifanya?
Kaka mbona umetoa mfano wa wasabato kwani hao ni hatari kwa ngono?My point is people always want to id people based on their uniqueness! Think of this 'Kuna Msabato mmoja amekamatwa ugoni"
Lakini kama angekuwa M-catholic watu wasinge sema M-catholic amekamatwa ugoni its just "jamaa" Yawezekana wewe sio Mkurya lakini usishangae Wakurya kuitwa mapanga shaaa kwa sababu that is what come in the mind of people when they see a Mkurya Hiyo ndio Avatar yao! and in fact that is who they are!!
Nimesoma Tarime Sec Mambo niliyoyashuhudia hapo Tarime ni ya kuwaachia wao tu! Nimeona mke amekatwa panga kichwani alikuwa amebeba mtoto mgongoni na mtoto akapitiwa and its just a trivial domestic scuffle jamaa anabebea mke panga! What a stonyhearted people!!!!!!
Ishu ya juzi ndio imenimaliza kabisa Kichwa cha mtoto mdogo cut open, ng'ombe utumbo nje. Mpaka najiuliza kweli watu watu tuko diverse kiasi hiko, some cant even hurt a fly, some can do un-imaginable autrocity!!!
Huko hakufahi kuishi watu wanyonge kama Nyani Ngabu!Nilipita Tarime mjini siku za nyuma mara moja na niikaa kwa nusu saa tu, lakini kwa muda huo mfupi nilishuhudia pair 2 tofauti za watu wakitwangana ngumi hadharani huku watu wakishangilia. Labda ni coincidence, lakini mmh ..
Mhh! mie simo.Huko hakufahi kuishi watu wanyonge kama Nyani Ngabu!