My point is people always want to id people based on their uniqueness! Think of this 'Kuna Msabato mmoja amekamatwa ugoni"
Lakini kama angekuwa M-catholic watu wasinge sema M-catholic amekamatwa ugoni its just "jamaa" Yawezekana wewe sio Mkurya lakini usishangae Wakurya kuitwa mapanga shaaa kwa sababu that is what come in the mind of people when they see a Mkurya Hiyo ndio Avatar yao! and in fact that is who they are!!
Nimesoma Tarime Sec Mambo niliyoyashuhudia hapo Tarime ni ya kuwaachia wao tu! Nimeona mke amekatwa panga kichwani alikuwa amebeba mtoto mgongoni na mtoto akapitiwa and its just a trivial domestic scuffle jamaa anabebea mke panga! What a stonyhearted people!!!!!!
Ishu ya juzi ndio imenimaliza kabisa Kichwa cha mtoto mdogo cut open, ng'ombe utumbo nje. Mpaka najiuliza kweli watu watu tuko diverse kiasi hiko, some cant even hurt a fly, some can do un-imaginable autrocity!!!