Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Kwani ni wapi nimewaambia mtunge sentensi ?Hakuna kikao hapo ni mgahawani mnyika alienda kula. Na jaydee kama mmiliki akamshukuru kwa kumuunga mkono kwenye biashara yake.