Lady Jay Dee amepata Ujauzito?

Lady Jay Dee amepata Ujauzito?

thamani yake itaongezeka mara dufu hapa ulimwenguni
 
Mungu Mkubwa am great fan of this singer kama hajaweka Matabara she is real expecting Natamani apate mtoto and my little Girl is called Judith kwa sababu Mimi ni fan wake mno!

Wasomi wa Psychology na body Language JD katika post yake Instagram hajaweka wazi ila kuna Kipindi alikua anafanya Mazoezi na Tumbo lake likawa Slim. Lakini Hivi Majuzi ame post picha yake ambaye inaonesha ana tumbo ambalo labda linaweza kuwa ni Mimba ambayo bado Changa.

Ukitazama Maneno ya kwenye Post akamalizia kwa Kusema Maneno haya hayausiani na Picha. Sisi wataalamu wa Lugha za siri Unaweza Kusema Dada alikua anasisitiza Jiangalie Pica tena kawa Umakini.

View attachment 523353 View attachment 523354


Picha yake ya January 16
View attachment 523358
Hamna kitu hpo tumbo la chipsi yai hilo.
 
Kwa wajuzi wa mambo haya, Jide tayari...mtazame hata sura ilivyo mwagika..yule jamaa KAZI ILIMSHINDA..
 
bora aisee alivyoamua kumuacha Gadner, mwanaume aliyeacha mke huko na mtoto alafu akaja kukuoa ni kama laana. unaweza usizae, au kupata mimba zinazohariba sababu ni machozi ya yule mwanamke aliyeachwa
 
Ila Lady jay dee n legendary wa wanamuziki wengi sana Bongo na wengi wana mkubali sana sema umaskini wao na uoga wao wa kuigopa mawingu station.
One day God will bless her with baby boy/girl
 
Huyu demu angekuwa hana hela sijui angefananaje.khaa yaani ni kibayaaa basi tu..mwanangu papiii kocha enzi hizo anakuka kavuuu vibaya sanaaaa
 
Kama mwanaume anafanyiwa surgery na kubeba mimba, ishindikane vipi kwa babyface? Asante Mungu
 
Back
Top Bottom