Lady Jay Dee amka, kiti chako kinataka kuchukuliwa

Lady Jay Dee amka, kiti chako kinataka kuchukuliwa

Halafu we jamaa sijui upoje sasa Vanessa kisa kachukua afrimma awards ndo awe bora kushinda lady jidee kwani huyo Vanessa ndo msanii wa kwanza kuchukua tuzo za nje ya Tanzania lady jidee kashachukua zamani sasa huo ubora wa Vanessa ni upi yani kuchukua ki tuzo kimoja cha best female mbele ya waimba taarabu hadija kopa et ndo ampite lady jidee kwa ubora au kuimba #think twice
Inawezekana mwenzetu unazungumzia historia wakati wenzako tunaenda with real time!! Kwanza Vanessa nilimtabiria tangu 2014 na hizo Afrimma ni matokeo tu!! Sasa kama issue ni historia usiache kuwataja na akina Mbaraka Mwishehe, Marijan Rajabu, Bi Shakira, Issa Matona na wengineo lakini kama tunazungumzia leo, Jide anapotea taratibu na ndio maana hata tunapozungumzia wachezaji bora duniani, tutakutajia akina Ronaldo, Neymar, Lionel Messi na wengineo; huku tukiwa bado tunakumbuka mchango wa watu kama akina Ronaldinho, David Beckham, Figo not mentioning watu kama akina Pele na Maradona!
 
Ndio lazima ayumbe we unadhani hivyo anavyopigwa vita asisikike we huoni au yaani mpaka pale alipofika kajitaidi sana sasa we unazungumzia wakati gani mpeni heshima tu strong woman yule "
Lady jidee anatakiwa aheshimiwe jamani acheni ushabiki maandazi hapewi promo kama kina Vanessa na ruby na wasanii wengine wa kike lakini yupo juu mpaka leo licha ya kufanyiwa fitna na kina ruge na clouds yake #usiache mbachao kwa msala upitao
Kwahiyo kutopigwa nyimbo zake Clouds ndo basi tena inafanya ashindwe hata ku-release nyimbo kwenye radio stations zingine? By the way, assume wewe ndo presenter pale Clouds... ungekuwa unampa promo kwa nyimbo zipi? Yahaya? Hivi we unamfahamu Jide kweli au unaongea tu? Hebu tulia usikilize nyimbo za Jay Dee kuanzia 2005 kurudi nyuma kisha usikilize nyimbo zake za sasa ndipo utaelewa watu wanamaanisha nini!
 
Jaydee ni legend, utamfananisha vip na watoto wanaochipukia?
 
Kwahiyo kutopigwa nyimbo zake Clouds ndo basi tena inafanya ashindwe hata ku-release nyimbo kwenye radio stations zingine? By the way, assume wewe ndo presenter pale Clouds... ungekuwa unampa promo kwa nyimbo zipi? Yahaya? Hivi we unamfahamu Jide kweli au unaongea tu? Hebu tulia usikilize nyimbo za Jay Dee kuanzia 2005 kurudi nyuma kisha usikilize nyimbo zake za sasa ndipo utaelewa watu wanamaanisha nini!
We tatizo lako moja much know watu kama nyinyi mnaeza bishana mpaka jua lina zama sasa hapo ulitaka kusemaje 2005 nirudi nyuma wakati mpaka sasa anayo hit song inapigwa mpaka vituo vya njee au huijui???
 
Inawezekana mwenzetu unazungumzia historia wakati wenzako tunaenda with real time!! Kwanza Vanessa nilimtabiria tangu 2014 na hizo Afrimma ni matokeo tu!! Sasa kama issue ni historia usiache kuwataja na akina Mbaraka Mwishehe, Marijan Rajabu, Bi Shakira, Issa Matona na wengineo lakini kama tunazungumzia leo, Jide anapotea taratibu na ndio maana hata tunapozungumzia wachezaji bora duniani, tutakutajia akina Ronaldo, Neymar, Lionel Messi na wengineo; huku tukiwa bado tunakumbuka mchango wa watu kama akina Ronaldinho, David Beckham, Figo not mentioning watu kama akina Pele na Maradona!
Anapotea wakati ana hit song we vanessa mfananishe na kina shilole na lina ruby au recho ila sio jide utachekwa tatizo lako unajifanya much know watu wa aina hiyo wanakuaga wabishi sana
 
Nakubali hustle za vee money ila huwezi
Mfananisha na hide,promo mitandaoni
Isiwazuzue maana ndicho kinawaaminisha
Kuwa muziki wa Tanzania ndo umenza kujulikana kimataifa...TUZO za hide wala sio historia,angalia toka mwaka Jana kapokea TUZO za nje ngapi ???
...Umagharibi mwingi haumfanyi vee awe bora.jide ana fanbase na heshima kubwa
Sana na kumlinganisha na vee ni tusi unalostahiki kutubu
 
  • Thanks
Reactions: me1
Msimvunjie heshima Jide kwa kumfananisha na hao watoto. Baada ya miaka 15 ndio kiba V Money na wengine wanaweza kufananishwa na Jide. Huyo Vanessa ana albam ngapi mpaka sasa? Jide doesn't need to prove anything because she's already paid her dues. Ni sawa sawa na kumfananisha Aretha Franklin na Rihanna. Hao watoto kwanza waache kutumia "autotune" tuone kama hizo note zitasikika.
 
  • Thanks
Reactions: me1
Kijana unaonekana una mahaba na wanamuziki vikongwe.... there's no way leo hii Lady Jay Dee anaweza kushindana na damu changa kama Vanessa na Ruby unless kama na yeye anatarajia kuingia kwenye category cha mwanamuziki anayechipukia wakati keshazeeka... c.c warumi!!!


Ruby hawezi kufikia robo ya lady jay dee.
Vanessa anahitaji miaka mitano ya costant performing kumfikia lady jay dee.
 
Last edited by a moderator:
Labda kiti cha kukaa uchi ila vanessa bado mtoto kwa lady jidee

Ahaha umemkomesha, kupata tuzo ya kimataifa haimaanishi kuwa ndio kampita jide,vanesa bado sana kwa level za jide
 
Kijana unaonekana una mahaba na wanamuziki vikongwe.... there's no way leo hii Lady Jay Dee anaweza kushindana na damu changa kama Vanessa na Ruby unless kama na yeye anatarajia kuingia kwenye category cha mwanamuziki anayechipukia wakati keshazeeka... c.c warumi!!!

Jide ni jide tu, nothing compares,yule wamuache maana hawampati kimaisha wala kimuziki
 
Last edited by a moderator:
Halafu we jamaa sijui upoje sasa Vanessa kisa kachukua afrimma awards ndo awe bora kushinda lady jidee kwani huyo Vanessa ndo msanii wa kwanza kuchukua tuzo za nje ya Tanzania lady jidee kashachukua zamani sasa huo ubora wa Vanessa ni upi yani kuchukua ki tuzo kimoja cha best female mbele ya waimba taarabu hadija kopa et ndo ampite lady jidee kwa ubora au kuimba #think twice

Nisaidie kushangaa, hakuna kama jide miaka mia
 
Ruby hawezi kufikia robo ya lady jay dee.
Vanessa anahitaji miaka mitano ya costant performing kumfikia lady jay dee.
Tatizo ndugu yangu, inaonekana mnazungumzia music generations wakati sie wengine tunazungumzia real time na ndio msingi wa mleta mada Nukta5... yeye ametoa changamoto kwa Jide kutoka huko aliko vinginevyo atapotezwa na akina Vanessa na mimi kwenye mada yangu nimesema:
There's no way leo hii anaweza kushindana na damu changa....
Sasa mkuu wangu nyie mnatuletea mambo ya zama za Kora Awards, the very same mistake iliyofanywa na mashabiki wa Kiba hata wakamtia ujinga!!!! Mkuu, siwezi kukulazimisha, lakini kwa kasi hii, Jide atapotea na atabaki kupokea tuzo za heshima ingawaje pia siwezi kumlaumu coz' mambo mengine hayaepukiki....! sumbai kaongea maneno machache lakini ndio ukweli wenyewe... na ni huu hapa:
Kila zama na kitabu chake..

Zama zilee alikuwaga jide, ray c n.k

Zama za juz juz walikuwa wakina linah, mwasity....n.k

Zama za leo tuna v-money, rubiii.....n.k
 
Last edited by a moderator:
Jide ni jide tu, nothing compares,yule wamuache maana hawampati kimaisha wala kimuziki
Mpwa bhana, watu tunazungumzia issue za real time wewe unaleta issue za zama za Kora!!!Mi namkubali sana Jide na zamani shanunua sana album zake! Mie namzungumzia Jide yule ambae kazi zake tulikuwa tunachoma kwenye CD za Imation na Sony... mie namzungumzia Jide yule wa enzi za watu wa mikoani wanakuja Dar na kurudi na CDs zaidi ya 500 za kuchoma na kwenda kuuza mkoa na mtu anakujia kabisa na list ya nyimbo za Jay Dee vinginevyo biashara hakuna!
 
  • Thanks
Reactions: me1
Tatizo ndugu yangu, inaonekana mnazungumzia music generations wakati sie wengine tunazungumzia real time na ndio msingi wa mleta mada Nukta5... yeye ametoa changamoto kwa Jide kutoka huko aliko vinginevyo atapotezwa na akina Vanessa na mimi kwenye mada yangu nimesema:Sasa mkuu wangu nyie mnatuletea mambo ya zama za Kora Awards, the very same mistake iliyofanywa na mashabiki wa Kiba hata wakamtia ujinga!!!! Mkuu, siwezi kukulazimisha, lakini kwa kasi hii, Jide atapotea na atabaki kupokea tuzo za heshima ingawaje pia siwezi kumlaumu coz' mambo mengine hayaepukiki....! sumbai kaongea maneno machache lakini ndio ukweli wenyewe... na ni huu hapa:

Kweli kaka, hapa tunacheza na zama tuu na sio kiwango au ubora wa hawa watu...
Jide yupo juu kwa kila kitu dhidi ya hawa watu....ila tupo katika zama za wakina vanesaa
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu akili zao hawaziboreshi kwa kuingiza vitu vipya ili kulisha bongo zao ila wanaishi maisha ya kukariri tu.Munapomlinganisha Jide na v. money kwa maana ya Jide wazamani munakuwa munaukosea adamu huu uzi na munaenda nje ya mantiki ya mleta mada ambapo lengo lake yeye ni kumlinganisha Jide ktk nyimbo zake za sasa na hawa wasichana wanaoibukia leo hii na si kwa mana ya Jide wa kipindi kile. Na tunapomuangalia huyu Jide wa sasa na hawa mabinti wanaoibukia tayari Jide keshakalishwa (kwa maana ya air play,kuuza, tuzo, shows na n.k) na hili si tatizo ni jambo ambalo ni lazima litokee na ndo mana chige katoa mifano ya wachezaji mpira siku hazifanyi rivasi ila zenyewe zinasonga mbele tu. Na wanamuziki,mabondia,wanariadha na wanasiasa hatuwezi kuwa-rivasi ila wao wanabaki kuwa ni mifano bora ya jinsi gani twaweza kwenda mbele.
 
hivi watu huwa hamjui maana ya generation? hata lion Rich au Janet Jackson aimbe leo huwezi mcompare na Chris Brown wala Rihanna... Jide ni legend na mziki umemnufaisha parefu sana she is such a strong woman.... Vanessa hawezi mfikia Jide miaka 800
huwezi mcompare banana zoro na diamond very different yani.
 
Mzee wa essay unapeleka hii thread faster kinoma yani tatizo nn kwani?
 
Back
Top Bottom