Lady Jay Dee amka, kiti chako kinataka kuchukuliwa

Lady Jay Dee amka, kiti chako kinataka kuchukuliwa

Wala sio irrelevant ndugu yangu na hata ukiangalia hits nyingi za MJ ni zile za 1980's to mid 1990's!Inawezekana alikuwa hajashuka kimuziki lakini sidhani kama kuna ngoma ya MJ ya mid 1990's kuja huku ambayo unaweza kulinganisha na pini kama Thriller, Billie Jean, Heal The World, Black or White, Liberian Girl n.k! Hii Liberian Girl hadi leo nikiisikiliza mwili unanisisimka! Hebu na wewe jikumbushe halafu nitajie wimbo wake mmoja uliotoka frm mid 1990 ambao unaweza kuulinganisha na angalau LG achilia mbali Thriller au Heal the World!!!




will you be there.......
 
Last edited by a moderator:
will you be there.......
Hahahaaa... kwanza, ingawaje Will You Be There ilikuwa released 1993 as single, lakini ipo kwenye album ya Dangerous ambayo ilitoka 1991. Sasa, kwanza si tu kwamba 1991 au hata hiyo 1993 sio mid 1990's lakini pia unaweza kupata picha album ya 1991 ilikuwa imeandaliwa wakati gani...!!
 
Back
Top Bottom