Sio suala la kuleta ubishi, alishawahi kuzungumzia huko nyuma lengo lake la kufungua radio station yake mwenyewe, now she did it, na hiyo picha ndiyo muonekano wa ofisi, frequency ni 93.7 FM jina kamili la radio station bado halijapatikana, soon nadhani kila kitu kitakuwa poa. Big up sana LADY JAYDEE.
Sio suala la kuleta ubishi, alishawahi kuzungumzia huko nyuma lengo lake la kufungua radio station yake mwenyewe, now she did it, na hiyo picha ndiyo muonekano wa ofisi, frequency ni 93.7 FM jina kamili la radio station bado halijapatikana, soon nadhani kila kitu kitakuwa poa. Big up sana LADY JAYDEE.
Hapana warumi hiz data sijajua umefanya makusudi ama ni nini....Hii radio haihusiani kabisa na jide na zaidi inakuja na kituo chake cha tv....
Ni ya nani mkuu? Ebu tusaidiane apa