Mkalibari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 659
- 399
Kuna rumours nyingi hapa kitaa kua jide anahusika katika hii redio mpya inayokaribia kuzinduliwa hapa bongo!
It might be the way to fighting the monopolistic radio(the big one) in bongo music industry.
kama ni kweli go commando go!
It might be the way to fighting the monopolistic radio(the big one) in bongo music industry.
kama ni kweli go commando go!
Sio suala la kuleta ubishi, alishawahi kuzungumzia huko nyuma lengo lake la kufungua radio station yake mwenyewe, now she did it, na hiyo picha ndiyo muonekano wa ofisi, frequency ni 93.7 FM jina kamili la radio station bado halijapatikana, soon nadhani kila kitu kitakuwa poa. Big up sana LADY JAYDEE.
![]()