HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mkiambiwa kiporo hakihitaj moto mwing mnabisha
rama d jembe ila wanapga ngoma zakeBado ruby na rama d
niliiishiwa bando mkuuu xx nimerudiMkuu mbona habari fupi kama muhutasali wa habari..........
Funguka mkuu............
[HASHTAG]#BeSerious[/HASHTAG]
[HASHTAG]#StepByStep[/HASHTAG]
uyo rama d ndo nan seme hata ngoma yake moja mi simjuhrama d jembe ila wanapga ngoma zake
huyu ndo legend wa rnb bongo mzimauyo rama d ndo nan seme hata ngoma yake moja mi simjuh
= muhtasari
uyo rama d ndo nan seme hata ngoma yake moja mi simjuh
G njaa tu huyo labda afate mkojoIna maana hata kwa gadna atajirudisha?Maana G alishatangulia mjengoni labla
Yaan hakuna kama Rama D kwa kwelihuyu ndo legend wa rnb bongo mzima
nashangilia tu, na kumbeza Jide, ila mnasahau wiki iliyopita Ruge ndiye aliyeanzisha kutaka mapatano wakati akihojiwa na kituo chake. Kama Ruge aliona haya yanahitajika kufika mwisho, kwa nini kwa Jide ionekane kwetuu kama amelamba tapishi lake?
Mkuu Pogba ndo mkuu wa Makondakta Dar es Salaam?Nasikia shoo imesimamiwa na minista kwa kigezo kuwa pogba ni mshabiki wa komando