Lady Jay Dee asalimu amri kwa Clouds, aruhusu nyimbo zake zipigwe rasmi

Aliwahi semaga sijui
Bahati mbaya akifa, hao clouds (ruge & na kusaga sijui) wasisogee kwenye msiba wake.


Sasa inabidi atengue hio.kauli yake!



PLEASE NOTE:


Sikumbuki vizuri, ila nikama niliwahi sikia hio habari.
 
"ILKUSUDI" akawe karibu na aliyekuwa "anamkojoza" hapo awali.
 
nashangilia tu, na kumbeza Jide, ila mnasahau wiki iliyopita Ruge ndiye aliyeanzisha kutaka mapatano wakati akihojiwa na kituo chake. Kama Ruge aliona haya yanahitajika kufika mwisho, kwa nini kwa Jide ionekane kwetuu kama amelamba tapishi lake?
Shangaa wewe utafikiri yeye ndo alianza kuomba suluhu
 
Yule ruby vp sasa maana alifuata mfano wa dada
 
Ruge kaamua kutumia busara tu kwa hiyo kauli... kwenye kesi, Jide ndie ameshindwa kesi! Sasa tangu lini aliyeshinda kesi akaomba poo? By the way, hivi unaamini kabisa ni Clouds ndio inamuhitaji Jide kuliko Jide anavyoihitaji Clouds??!!!
Sasa luge mwenyewe ndo ameomba acha mapnz na luge kaka tena kwenye kipindi kabs mpk jide akasema kama management yake iki kubali bas sawa amna shida kwani ni siri ingia hata youtube video zipo acha uvivu bwashee
 
Inawezekana Jide na yule mkojozaji walikutana clouds kwa hiyo si vibaya kurudi walipotokea
 
Kwahiyo unataka kujidanganya kwamba Clouds wanamuhitaji sana Jide??!!!
Mimi ni tofauti na wewe ambaye unaakili za kujidanganya. Mimi nasema kweli na nimekupa historia ya matukio mazima sasa kama unaakili za kujidanganya hayo sishughuliki nayo.
 
Mimi ni tofauti na wewe ambaye unaakili za kujidanganya. Mimi nasema kweli na nimekupa historia ya matukio mazima sasa kama unaakili za kujidanganya hayo sishughuliki nayo.
Historia ya kweli ipi uliyoitowa? Historia ya kweli iliyopo ni kwamba Jide alitangaza hadharani kwamba siku akifa Ruge na Joe wakitokea wapigwe mawe! Aidha akatangaza hadharani kwamba Clouds wasipige nyimbo zake! Aidha, Clouds walimburuza Mahakamani Jide na kesi ikaamuliwa kwamba Jide ana hatia na anatakiwa kuwaomba msamaha Clouds!

Hiyo ndiyo historia ya ukweli na zingine zote ni porojo! Lakini kwavile wengine hawaoni faida ya bifu; wakaamua kupotezea hata hukumu ya mahakama kwa kuona yaliyopita si ndwele! Kinyume chake kusema eti Clouds wamemwangukia Jide itakuwa ni kujidanganya kwa 100% kwa sababu Jide hawezi kuwa na msaada wowote kwa Clouds ndani ya nchi yenye makumi kwa makumi ya wasanii na wote hao wanazitamana kwa macho ya huruma radio stations zisizofika hata 5 na first priority yao ikiwa ni Clouds!
 
Kichwa cha habari,umepotosha.aliyetaka mambo yaishe ni ruge...ila sio mbaya.bifu za nini?kama wakubwa wameamua yaisheee?hao ni watu wanaotegemeana.
 
nashangilia tu, na kumbeza Jide, ila mnasahau wiki iliyopita Ruge ndiye aliyeanzisha kutaka mapatano wakati akihojiwa na kituo chake. Kama Ruge aliona haya yanahitajika kufika mwisho, kwa nini kwa Jide ionekane kwetuu kama amelamba tapishi lake?
Samehe bure.Leo kwa mjumbe hawaa.tena taarifa ya habari ya habari.na matangazo ya vifo.
 
Kichwa cha habari kilipaswa kuwa "Komando asalimu amri kwa Polisi"
 
Acha kuwa na akili kama za mende!

Clouds ni system haiwezekani system isande kwa mtu mmoja for what?
Nni kweli clouds haiwez kusand kwa sababu ya jide, ila jide kwa kiss chake imrmpa hasara, kilichomsaidia ni ukongwe na mashabiki alionao, jide anajua bwana habahatishi, so nafhan ruge katumia busara yaishe, ila jide name aliendelra vzur tu bila clouds
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…