Lady Jay dee Auliza Tuzo za KTMA Zimeshafanyika?

Deo Corleone

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2011
Posts
17,006
Reaction score
13,281
Kuna fan wake kule Twitter kamwambia awe anahudhuria kuchukua tuzo. Unajua alichomjibu, Kwani zimeshafanyika? Hivi kweli huyu dada hajui kuwa zimefanyika na Tuzo kapewa? Team Anaconda inabidi mjitafakari upya.


Niwewe kweli?

 
amuulize mwakilishi wake aliyemtuma kuhudhuria hafla hiyo.
 
Lazima kuna sababu ya yeye kutohudhulia...
 
team ya clouds walikuwepo na bosi ruge ...ninaimani ndiyo sababu
 
Kwani lazima ahudhurie we kama walimpigia viherehere vyao yeye huwa hazitaki ila watu wanajipendekeeza.
 
jide bado ana akili za kitoto ndo maana zinamrudisha nyuma,why doesnt she grow up?kila siku kutukana team clouds,kwa nini asikae kimya afanye maisha yake?
 
Kama anajiamini hazitaki hizo tuzo si awakataze kili wasimuweke mbona Tid, fa na Dully skyes wameshastop wasiwanominate why yeye akae tu kimya.
 
tusimlaumu jide maana yeye ni kati ya wasanii wakongwe wasiotaka kabisa KTMA

DULLY
ALIKIBA
tujiulize kwa nini dully hadi mwaka jana alikataa kabisa tena kwa matusi na hao wasanii wanajua kuimba

KABLA HATUJAMUHUKUM JIDE TUJIULIZE KWA NINI WASANII WAKONGE HAWAPENDI KUSHIRIKI??
 
Yan HZO tuzo bhana..

Eti BLUE hajawah kupata.
Eti TID hajawah kupata
Hata muasisi wa kubana pua Dullysykes hajawah kupata
Allykiba kapata 1 tu..

Dah
 
Yan HZO tuzo bhana..

Eti BLUE hajawah kupata.
Eti TID hajawah kupata
Hata muasisi wa kubana pua Dullysykes hajawah kupata
Allykiba kapata 1 tu..

Dah


Umeona!! Itakuwa kuna kaupendeleo fulani hivi
 
jide bado ana akili za kitoto ndo maana zinamrudisha nyuma,why doesnt she grow up?kila siku kutukana team clouds,kwa nini asikae kimya afanye maisha yake?

kila kitu "team" "team"! mnaboa na hayo maneno ya team team! i hate it!
 
kazidi sana aisee. Hope next year hatapata tena coz mashabiki tumejua kuwa hahitaji tuzo, ke.nge kabsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…