Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si uongo hiyo mia kwa siku huishi wewe na familia ya watu kumi tena mtakula mlo poa
Niwewe kweli?
![]()
Hahaha kumbe ni malia ndo alimuuliza hili swali lol!
Malila ndio nanii
Kuna fan wake kule Twitter kamwambia awe anahudhuria kuchukua tuzo. Unajua alichomjibu, Kwani zimeshafanyika? Hivi kweli huyu dada hajui kuwa zimefanyika na Tuzo kapewa? Team Anaconda inabidi mjitafakari upya.
Mbna kule twita alikua anaretweet tweets zilizokua zinahamasisha watu wampgie kura.
Angewaambia tu msinpgie kura.
Unakumbuka Choka alisemaje alipoenda kuchukua tuzo ya pili?
Hivi wanapewa bure au wanapigiwa kura...zile zinaratibiwa na wafu fm hawezi kwenda ni sawa na kujiunga nao, wacha tu wajipendekeze kumpa. Mimi binafsi naunga mkono kutokuhudhuria kwake. Umewahi kuona Juma Nature, Belle9 wanapewa zile tuzo na ujiulizi kwa nn? wanakuja kupewa kina Vanessa Mdee zile tuzo ni utumbo wa kitimoto