Lady Jay dee Auliza Tuzo za KTMA Zimeshafanyika?

Lady Jay dee Auliza Tuzo za KTMA Zimeshafanyika?

Kwani hizo tuzo huwa zinasaidia nini kwa mhusika?

kwake zaweza kuwa hazimsaidii, but mashabiki wake wamejitahid kumpigia kura kumpa support as the result unaempa support hahitaji. Si wajua inaboa. Watu wamepoteza muda na hela kumpa support au hilo pia kashindwa kufanya kwa ajili ya kuwathamini walompigia kura ambao ni washabiki wake?
Ilihitaji busara ndogo sana tu either kushukuru mashabiki wake na siyo kufanya as if nothing happened
 
Niwewe kweli?

attachment.php
 

Attachments

  • 1399530384456.jpg
    1399530384456.jpg
    73.8 KB · Views: 1,843
zile zinaratibiwa na wafu fm hawezi kwenda ni sawa na kujiunga nao, wacha tu wajipendekeze kumpa. Mimi binafsi naunga mkono kutokuhudhuria kwake. Umewahi kuona Juma Nature, Belle9 wanapewa zile tuzo na ujiulizi kwa nn? wanakuja kupewa kina Vanessa Mdee zile tuzo ni utumbo wa kitimoto
 
Aachee tu tena awaambie wasiwe wanamuwekaaa basiii
 

FA alikataaa izo tuzo baada ya ''Bado nipo nipo" kukosa ata tuzo moja. wakampoza na show ya million 8 ndio ukamuona juzi ana perform ...we ujiulizi kama ni wapiga kura ndio wanahamua, Vanessa mdee anajulikana kwa wapiga kura wakitanzania tunaowajua zaidi ya Belle9 na Benpol ?? logic tu ya kawaida
 
FA alikataaa izo tuzo baada ya ''Bado nipo nipo" kukosa ata tuzo moja. wakampoza na show ya million 8 ndio ukamuona juzi ana perform ...we ujiulizi kama ni wapiga kura ndio wanahamua, Vanessa mdee anajulikana kwa wapiga kura wakitanzania tunaowajua zaidi ya Belle9 na Benpol ?? logic tu ya kawaida

Hapo umenena Joh..
 
jide bado ana akili za kitoto ndo maana zinamrudisha nyuma,why doesnt she grow up?kila siku kutukana team clouds,kwa nini asikae kimya afanye maisha yake?

To some people, war makes them stronger... Marekani inabenefit sana kwenye vita..
Na hiyo ndo itakua strategy ya jide ili aendelee kuwepo.
 
zile zinaratibiwa na wafu fm hawezi kwenda ni sawa na kujiunga nao, wacha tu wajipendekeze kumpa. Mimi binafsi naunga mkono kutokuhudhuria kwake. Umewahi kuona Juma Nature, Belle9 wanapewa zile tuzo na ujiulizi kwa nn? wanakuja kupewa kina Vanessa Mdee zile tuzo ni utumbo wa kitimoto

Man, Belle9 atakuwa na damu ya kunguni..
So damn talented
 
Hahaha, she's got jokes. I will give her that.
 
kwani walim-consult kabla ya kumuweka?

Mbna kule twita alikua anaretweet tweets zilizokua zinahamasisha watu wampgie kura.

Angewaambia tu msinpgie kura.
Unakumbuka Choka alisemaje alipoenda kuchukua tuzo ya pili?
 
Back
Top Bottom