Lady Jay Dee: Hata ndoa yangu ikivunjika haimanishi mnianzishie story za kunichafua

Lady Jay Dee: Hata ndoa yangu ikivunjika haimanishi mnianzishie story za kunichafua

Hakuna msanii aliyebebwa na Clouds kwa kiwango cha juu kama Jide, pamoja na juhudi zake na kuwa na mume ambaye yupo kwenye media industry imechangia mafanikio yake. Na ninaamini kama angekuwa na maelewano mazuri na clouds/KILI awards angekuwa kuna kitu kingeongezeka ktk mafanikio yake, unakumbuka Clouds walivyokuwa wanaipasha nyumbani Lounge kipindi anaanza? siku hizi hapabambi kivile.
Hapaswi kuridhika na mafanikio aliyonayo na kuwa na kiburi hivyo.
Wasanii kama Ray C alipotea mwenyewe kwa ujinga wa kula unga.

Ray c alipotea kwa UJINGA wa kula unga, umeona point niliyokuwa naitaka mimi apo? Kwamba jide sio mpumbavu wala mjinga kama wasanii wengine, ray c kabebwa wee juzi kat na clouds mikwar kibao lakini yuko wapi?

Sasa mkuu, hata kama clouds walimtangaza jide dunia nzima so what labda? Unataka waabudiwe? Only God deserves that, na sio clouds kijana, acha mawazo mgando, naona unakuja na mada mpya, sasa ivi umekuja na mgahawa, dah, yan kama clouds ingekuwa inawabeba wasanii mpka kujenga mgawaha pale kinondon, ivi unajua kiwanja kanunua bei gan? Ujenzi je? Hapana chezeya jide bhana, she rocks miaka mia, nothing compares
 
Ray c alipotea kwa UJINGA wa kula unga, umeona point niliyokuwa naitaka mimi apo? Kwamba jide sio mpumbavu wala mjinga kama wasanii wengine, ray c kabebwa wee juzi kat na clouds mikwar kibao lakini yuko wapi?

Sasa mkuu, hata kama clouds walimtangaza jide dunia nzima so what labda? Unataka waabudiwe? Only God deserves that, na sio clouds kijana, acha mawazo mgando, naona unakuja na mada mpya, sasa ivi umekuja na mgahawa, dah, yan kama clouds ingekuwa inawabeba wasanii mpka kujenga mgawaha pale kinondon, ivi unajua kiwanja kanunua bei gan? Ujenzi je? Hapana chezeya jide bhana, she rocks miaka mia, nothing compares

Mkuu kwani pale nyumbani lounge ni her property? Naona nilickia amepanga na juzikati Kuna habari zikaenea kuwa kodi imemshinda so amebwaga manyanga
 
Hapo Jide hajalalamika katufumbua macho tujue kuwa ni uwongo sababu umbea sometime unaweza kuwa kweli au uongo.

Hivi Gardner kaacha kuwa msemaji wake au Gardner ni manager tu? Maana kasema kitu kisipotoka kwake au mwakilishi wake Wabiro Wakazi Wasira tusiamini chochote
 
Mkuu kwani pale nyumbani lounge ni her property? Naona nilickia amepanga na juzikati Kuna habari zikaenea kuwa kodi imemshinda so amebwaga manyanga

Kwi kwi kwi kwi??? Dah jide ni nyoko, watu kujenga vibanda tu kimbiji kumewashinda, jide kanunua kiwanja mwaka 2011, toka ujenzi had inaisha nilikuwepo mkuu, teh teh, au unatak nikutajie na kiwanja kanunua na nani? Maana najua utakuwa anataka taarifa zaidi na si vinginevyo
 
Ray c alipotea kwa UJINGA wa kula unga, umeona point niliyokuwa naitaka mimi apo? Kwamba jide sio mpumbavu wala mjinga kama wasanii wengine, ray c kabebwa wee juzi kat na clouds mikwar kibao lakini yuko wapi?

Sasa mkuu, hata kama clouds walimtangaza jide dunia nzima so what labda? Unataka waabudiwe? Only God deserves that, na sio clouds kijana, acha mawazo mgando, naona unakuja na mada mpya, sasa ivi umekuja na mgahawa, dah, yan kama clouds ingekuwa inawabeba wasanii mpka kujenga mgawaha pale kinondon, ivi unajua kiwanja kanunua bei gan? Ujenzi je? Hapana chezeya jide bhana, she rocks miaka mia, nothing compares

Ya sijui amenunua sh ngapi!! kama kanunua kweli anastahili pongezi. pamoja na hayo anatakiwa aishi kama mwanamke ajifunze kujishusha aache kiburi.
 
Acheni kumtisha JIDE wapuuzi nyie,JIDE hakubebwa na Clouds ana uwezo wa kuimba kama Radio ndiyo inaimba kwanini Ruge asiimbe?Kajaribu kuwapigia promo wangapi jamii imewakataa?Msiongee Upuuzi lazima Mwanamke anapojitahidi kufight aungwe mkono acheni mfumo dume au mnataka atajirike kwa kuwa Kahaba kama Mastar wa Bongo Movie?Mnaona Fair Magazeti ya kijinga kukosoa uumbaji wa Mungu kwa kumuita Tasa?Naumia sana kwakweli Shigongo watchout kama huwezi kuwaonya wafanyakazi wako mbele ya haki kutahitajika majibu ya matendo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Jide kitakachompoteza ni kiburi na hataki kujishusha siku zote anataka kuwa juu, hajui kusamehe na kutafuta suluhu na watu anaokorofishana nao.

Sasa hapa GP utawasamehe kweli maana ni wanafiki.jamani Jide nae mtu na ana watu anawaheshimu sasa anatafuta njia ta kuwaeleza kuwa yuko tofauti.
Ifike mahala Shigongo atatuliwe marinda tuone kama atajiandika et.kazidi na umbea wake.
 
Ya sijui amenunua sh ngapi!! kama kanunua kweli anastahili pongezi. pamoja na hayo anatakiwa aishi kama mwanamke ajifunze kujishusha aache kiburi.

Jide ni next level binamu, hakuna msanii apa bongo wa kumpata kimafanikio, kuhusu tabia yake mi nadhani ni udhaifu tu kama binadamu wengine, hakuna aliyekamilika ndugu, ila ki ukweli huyu bibi anahitaji pongezi sana, maana unajua kujenga mgahawa pale kinondon si mchezo, ile sehemu ni expensive sana si unajua ni karibu na road halafu ni town, apo bado gharama za ujenzi, na maduka ya nguo anayomiliki yan ni shidaa, ni balozi wa fistula, oriflame sijui, we siku jaribu kwenda pale nyumban lounge tazama lile jengo na tathmin gharama zake wewe mwenyew ndo utaona kuwa jide ni nyoko sio mwanamke wa kumchezea ata kidogo she deserves the best, ndomo mwenyew hagusi pale kwa mafanikio
 
Acheni kumtisha JIDE wapuuzi nyie,JIDE hakubebwa na Clouds ana uwezo wa kuimba kama Radio ndiyo inaimba kwanini Ruge asiimbe?Kajaribu kuwapigia promo wangapi jamii imewakataa?Msiongee Upuuzi lazima Mwanamke anapojitahidi kufight aungwe mkono acheni mfumo dume au mnataka atajirike kwa kuwa Kahaba kama Mastar wa Bongo Movie?Mnaona Fair Magazeti ya kijinga kukosoa uumbaji wa Mungu kwa kumuita Tasa?Naumia sana kwakweli Shigongo watchout kama huwezi kuwaonya wafanyakazi wako mbele ya haki kutahitajika majibu ya matendo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Ndio wabongo tulivyo, mpaka afe ndo wataanza kujua kuwa jide nio msanii pekee bongo aliyeweza kuwa juu kwa miaka karibia kumi na nne bila mwanamuzik yeyote wa kike nchini kumkaribia, mafanikio yake hawayaoni wanaona ujeur tu na utasa dah
 
Jide asigombane na media akiwa km Judith Wambura, agombane akiwa km Lady Jaydee, vyombo vya habari ndivyo vilivyomfikisha hapo alipo, nani angemjua km sio media? Asitegemee mitandao ya kijamii ndio itangaze sanaa yake, au ameridhika kwakuwa anaendesha Range Rover Evoque? Ile ni depreciatable asset.. Akae na vyombo vya habari waone ni wapi Jide anakosea, na media pia wanakosea wapi! Akikaa kimya wataendelea kuandika Yale asiyotaka yaandikwe maana yay no msanii

Your not serious
Huu ni ushauri wa kitoto kabisa nyie ndio ambao huwa mko tayari kunyanyasika tuu kisa watu wanao wanyanyasa ndio walio wasaidia hapo kabla!
Nitakwambia mambo machache kwa Leo.

Huu ushauri kawape wanao kuzunguka lakini si kwa wengine!
Sikutegemea kama kuna MTU anaweza kutoa ushauri wa aina hii!

Tunajua Jide ana mapungufu tena mengi lakini ushauri huu hauna tija kabisa kabisa!

Na umeshindwa kujua kuwa linapokuja swala linaloumiza ni vigumu kumtenganisha Jide na Judith maana athari zake zina gusa kote!

Unatakiwa umtofautishe Jide na Wema! Wema anapopata scandal ndio anazidi kupendwa na Jide anapopata Scandal anapunguza mashabiki kwenye muziki wake!

Watu wengi wanampenda Jide na wanapenda mziki wake kwakuwa ni mmoja wa wasanii ambao wana jiheshimu pamoja na kuwa na mapungufu yake!

Jide kama angenyamaza sidhani kama wengi wange muelewa kabisa maana hii ni aibu sana kwa mtu kama yeye!

Nimekerwa na kitendo cha Jide kuto wapeleka GPL MCT! Namshauri awashitaki MCT!

Kwa sababu ya kuheshimika kwake Jide sasa leo amechaguliwa kuwa balozi wa Uzazi wa Mpango!
 
Hivi Gardner kaacha kuwa msemaji wake au Gardner ni manager tu? Maana kasema kitu kisipotoka kwake au mwakilishi wake Wabiro Wakazi Wasira tusiamini chochote
Hiyo ya Gardner sina taarifa nayo.Hebu google.
 
Sasa toka lini binamu umbea ukaupeleka mahakamani? Basi ingekuwa hivyo hizo mahakama zingekuwa balaa

Sio kila linalosemwa especially kiumbea lazima litiliwe maanani, sasa mtu uandikwe kwenye gazet flan ana mimba kumbe hana sasa utaenda kushtak nini? Ni upuuzi tu, labda kama scandal iwe nzito na ya uwongo lakini hiz story za kila siku mara wema kapiga picha za uch,cjui lulu kaporwa gari, sasa utaenda kushtak nn apo??

defamation hiyo....na fidia ana pata nzuri tuu akienda mahakamani
 
defamation hiyo....na fidia ana pata nzuri tuu akienda mahakamani

Hyo defamtion kila siku diva anaiongelea ooh nina mwanasheria wangu , mwanasheria my foot, pesa za kula zenyew zinawashinda , kwa apa bongo cjawah sikia msanii kulipwa fain, kwanz itakuwa miujiza
 
Ndio maana nasema huyo atapotea muda si mrefu kama akiendelea hivi.

mtasubiri saaana jide kupotea kawaweza cloudz na ccm yao sembuse huyo shigongo? ukitaka jide ajishushe hapo ndipo atapopote, watu tunampendea hichohicho kiburi chake ......na ndo maana akaitwa komandoo
 
mtasubiri saaana jide kupotea kawaweza cloudz na ccm yao sembuse huyo shigongo? ukitaka jide ajishushe hapo ndipo atapopote, watu tunampendea hichohicho kiburi chake ......na ndo maana akaitwa komandoo

Wewe kweli pumb
 
Sawa,lakini nahisi kama anawapa attention,kama ningekua mimi ningenyamaza ili wajiulize zaidi au kuwapa kazi yaziada yakunichungua, as long as ukweli anaujua yeye na mumewe why apoteze mda wake kujibizana nao? mie ningeedalea na yangu wakasema mpaka nguo za ndani zikawabana.............

Kunyamaza noma sana, kuwa watu wataamini kinachozushwa!
Bora awachane hivyo hivyo. Halafu mmiliki wa magazeti haya anajifanya mlokole ilhali anamiliki magazeti yenye picha za utupu na klabu za waonesha utupu, she~nzy type kabisa.
 
Back
Top Bottom