Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
We nyoko wewe, aaaaaah aaaaah nfyuuu umbea tu, kwanza umempikia msukuma? Maana najua binamu yangu wewe housegirl huna, we ndo house girl we ndio kila kitu.
Binam unajua mi ukifa ghafla lazima nimshitaki Daimond ,sasa hiv hata kula huli umekondeana hebu ukuje mwaz ukule samaki upate afya achana na mahindi ya kuchoma na ndimu
Msukuma hayupo no kupika wala kufuaaa