Lady Jaydee ahamia hotelini

Poa poa mkuu, shukrani maana duh safari hii nimepata BAN takatifu kweli

Ukifuata ushauri niliokupa ban utaisahau kabisa, ni lazima ujuwe hapa kuna wengine stress zao za maisha JF ndio sehemu ya kuleta stress zao.
 
Ukifuata ushauri niliokupa ban utaisahau kabisa, ni lazima ujuwe hapa kuna wengine stress zao za maisha JF ndio sehemu ya kuleta stress zao.


Vizuri Sana umebadilika hata maneno ya shombo umepunguza
 
Yaani ananipa raha ambavyo yeye na G hawahangaiki na umbea. Sio wale kina nani sijui, unampa mkeo talaka unatoa press release. Like who really cares?

Jide yuko juu bwana. Acha waseme!
Jide ni Bosslady maana hata hotel siyo zile za Sinza kajificha ushuwani kimya.
 
Yaani ananipa raha ambavyo yeye na G hawahangaiki na umbea. Sio wale kina nani sijui, unampa mkeo talaka unatoa press release. Like who really cares?

Jide yuko juu bwana. Acha waseme!
G na J wameonesha utu uzima dawa naamini watamaliza tofauti zao, kwenye mahusiano kupeana distance huwa ni solution pia na mambo ujiseti yenyewe. nawambea heri wayamalize mapema.
 

Naona JF celeb umerudi
 
Yuko rehab under Lara1
Mziki unaoubeep hauuwezi, wellcome na welcome ni makosa ya kawaida kwenye prediction keypard, nashangaa Lara 1 anakujaje hapa? punguza kujipendekeza kwa wanaume idadi ya mabasha imeongezeka.
 
Ni bora ya mimi standard seven graduate kuliko wewe msomi ambaye unachunguza maisha ya Joe Makini kuishi chumba kimoja sasa tukisema alikuwa anakupiga boro sijui tutakuwa tunakosea?

Hahaaaaaa
Naipenda JF
 
Yaani ananipa raha ambavyo yeye na G hawahangaiki na umbea. Sio wale kina nani sijui, unampa mkeo talaka unatoa press release. Like who really cares?

Jide yuko juu bwana. Acha waseme!

Watu wanasema eti hata gadner alipoenda polisi jide hakwenda kumuona wakat G alisema jide alienda usiku sana kwa kuwa alikuwa anaogopa waandishi wa habari, na walikuwa wanaenda wote ila jide anapaki mbali kidogo na kituo cha polis kuogopa waandishi
 
Watu wanasema eti hata gadner alipoenda polisi jide hakwenda kumuona wakat G alisema jide alienda usiku sana kwa kuwa alikuwa anaogopa waandishi wa habari, na walikuwa wanaenda wote ila jide anapaki mbali kidogo na kituo cha polis kuogopa waandishi

Haijarishi alikwenda au hakwenda hayo ni yao, Wanaume kibao wanapelekwa Polisi na wanawake lakini wanapatana na maisha yanaendelea.
 
Nimerudi binamu, yani niliwamisi kiama, hadi natetemeka apa maana nina maubuyu ya haja kiama, im back na wale ambao ujio wangu umewachefua ndimu zinawahusu, hihihii....

Ushaanza matusi mods piga ban huyu
 
Haijarishi alikwenda au hakwenda hayo ni yao, Wanaume kibao wanapelekwa Polisi na wanawake lakini wanapatana na maisha yanaendelea.

Da huu mfano nimeupenda sana, ni kweli baadhi ya wanawake uwapeleka polisi waume zao ila badae huenda kuwatoa wenyewe na vilio juu tena wanaomba msamaha wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…