Ha ha ha eti mkojozi wa awaliHivi Jamaa kweli anagonga ngozi au anamrusha roho mkojozi wa awali?
Atakuwa anakula mbunyenye huyoHivi Jamaa kweli anagonga ngozi au anamrusha roho mkojozi wa awali?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kuna makabila hayataki mizaha......unapigwa miti na huitwi bebi
Poa,nimekupigia muda si mrefu.pokea simu mamaakwenda huko kamtafute dada yako
Wambura ni msukuma?Toka lini msukuma akawa Romantic mkuu., muache now binti machozi ajiachie, kakutana na watu romanticheskii.
Lady JD ft Spicy - Remix Video Hiyo.Atakuwa anakula mbunyenye huyo
Maisha ni kupanga. Mwacheni ale starehe, kateseka mno.
Inaitwa push up bra. Kuna Gel unaweka ndani ya bra. Halafu inakupa matiti saa sita. -🙂Matit yamejaa vzur[emoji8]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hii ya kuruka ng'ambo ina maana huyu Dada tumeshindwa kukidhi mahitaji yake mpk tusaidiwe?
Naona Anarudi Kwa Ujana Kwa Kasi ya Ajabu sasa Sijui alikuwa wapi kuyafanya Haya Na Mumewe kipindi kile..
Vipi hapo Unaonaje.. Yupo sawa Au Kaboa