Lady Jaydee akiwa na mpenzi wake mpya, wamependeza au la?

Lady Jaydee akiwa na mpenzi wake mpya, wamependeza au la?

sijui kama nitaweza kuja kulala na mwanaume tena hivo ! ni ujinga tu unamsumbua
Nothing wrong, except kuanika kwenye public kama hivyo!
But with privacy, ipe nafsi kile moyo unataka!! Love is a beautiful thing, enjoy it to the fullest!
 
Kwani kazeeka huyo binti mbichi kabisa na hawa utawaweka wapi punguza ushamba
ce48a203022480b062d62731be5aef05.jpg
Hahahaha
 
0a7f6358d5c9fa0c48626a167ea0b1a9.jpg


Naona Anarudi Kwa Ujana Kwa Kasi ya Ajabu sasa Sijui alikuwa wapi kuyafanya Haya Na Mumewe kipindi kile..

Vipi hapo Unaonaje.. Yupo sawa Au Kaboa
Au ndio wewe yuleuliepigwachini nini?
 
swali ni kwamba ataweza kumkojoza kama yule wa kwanza?
 
machalii wa kinigeria hawana tofauti na machalii wa kikongo,maslahi mbele,utu nyuma.dada etu kaingia cha kike.

ahifadhi vizuri document za asset zake,vinginevyo ajiandae "kupigwa".

yasije yakamkuta yaliyomkuta dada mmoja wa ktz aliyekuwa ana date na mnigeria miaka kadhaa iliyopita.


dakika za mwisho wakati jamaa karudi kwao lagos, ndio alishtuka kwamba mjengo wake ulitumika kuchukulia mkopo bank bila yeye kuhusishwa.wanigeria hatari sana.
 
Back
Top Bottom