Lady Jaydee akiwa na mpenzi wake mpya, wamependeza au la?

Lady Jaydee akiwa na mpenzi wake mpya, wamependeza au la?

Maisha ni kupanga. Mwacheni ale starehe, kateseka mno.
 
Kwani kazeeka huyo binti mbichi kabisa na hawa utawaweka wapi punguza ushamba
ce48a203022480b062d62731be5aef05.jpg
Jamaa anamuonyesha mlenda....bibi lazima achukie
 
0a7f6358d5c9fa0c48626a167ea0b1a9.jpg


Naona Anarudi Kwa Ujana Kwa Kasi ya Ajabu sasa Sijui alikuwa wapi kuyafanya Haya Na Mumewe kipindi kile..

Vipi hapo Unaonaje.. Yupo sawa Au Kaboa
miaka 40 unasema anarudi ujana? angekua amezaa sasa hivi angekua na wajukuu huyo.
 
Toka lini msukuma akawa Romantic mkuu., muache now binti machozi ajiachie, kakutana na watu romanticheskii.
Ni Musoma moja huyo siyo msukuma mkuu. Makao ndiyo Shinyanga asili mara
(WAMBURA)
 
Hivi huyo rasta jah farah ataweza kweli kumkojoza huyo dada?? Mana amesha zoweya kukojozwaa
 
Back
Top Bottom