Lady Jaydee alivyofunika......


Ole wako ningekuona!!
 
Riziki ya mtu haizibwi
kwa fitna wala uonevu!
 
daaa aisee MWANA F.A joto alilipata ki hukika, alaf nilimuona rafiki yake AY ana hojiwa na BBC jana, ina maana hakuwepo kwenye show.

hila huyu dada live show anaiweza hile mbaya
 
Hivi ni MwanaFALA au MwanaFATUMA maana nashindwa kuelewa hapo....

Halafu na huyo YAHAYA ni nani wajameni??
 
Auditoriom seat zipo wazi?kwa jide ulikua unatafuta pakusimama
 
Hongera zako jide na wengine msife moyo unapokabiliwa na majaribu.
 
Mwanaume mzima na tena msomi unakwenda kushindana na mwanamke. Ona sasa alivyokuaibisha. MwanaFAtuma umejiaibisha Fatu.
tangia awali sikuwa nimefuatilia vizuri haya mambo lakini huyu alivyopanga tarehe ya kwanza na FA akapanga tarehe hiyohiyo, baada ya msiba wa Mangweya akaahirisha naye akaahirisha. Na alivyopanga tarehe ya jana naye kapanga hiyo hiyo tena!!!!????
Hii kitu itufunze mambo mengi hasa Watanzania ambao tumeshindwa kuendelea lakini unaona jinsi watu wanavyoweza kujenga viwanda vya fitna na kujitahidi usiku na mchana ili wengine wasifikie malengo yao ....na wote ni Watanzania tena Weusi. Naamini Watanzania wenye aslii ya Asia au Ulaya hawawezi kufanya hivi!!!
Cha kushukuru hapa ni kuwa watu wameelewa

 

HAHAHAHAH,ilikuwa birthday ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…