Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Aibu yao Clouds media poleni sana kutumiwa na mabosi wenu
Madongo waliyokuwa wanarusha wakina fulani kwenye kipindi chao walinibooore ....Ushauri Nyie ni waajiriwa tu acheni kuonyesha beef za kijinga , kisa muwe upande wa Bosi wenu Rugay
na kwenye show ni kama walienda kupiga umbea tu......
jamani Nyani Ngabu chali msaada wa haraka unahitajika
Chali kivipi?
Kilichodhihirika sana sana ni huyo mwanamke kutokuwa na hoja yoyote ya msingi.
Nimeuliza hapa mara milioni kidogo, hivi tatizo lake dhidi ya Clouds, Ruge, na Joey ni nini mahsusi?
Hakuna aliyejibu mpaka sasa. Mwanzoni alidai eti nyimbo zake hazipigwi Clouds na Ruge akayapangua hayo madai kama Khamisi Kinye.
Haya, nini sasa bifu lake dhidi ya Clouds?
...The truth of the matter is that the two shows were between justice and injustice... Justice prevailed...'
#TeamAnaconda #
What injustice are you exactly talking about here?
unajifanya hujui
Siyo najifanya sijui. Ni kwamba hakuna ndo maana huwezi kutaja, nukta!
"THE FINEST" My foot! Mlikuwa kama mko kwenye semina elekezi,
Mwambie Rugay alidhani historia ya Diamond are forever ingejirudia
hapana chezea JIDE,kajipangeni upya.Mtasubiri sana kwa ANACONDA!
Bwa'Nchuchu hating JideWho is hating who?
Sasa hapo ndo umeandika nini? Napata shida sana kukuelewa. Hebu weka ushabiki pembeni kidogo halafu unieleza kinagaubaga kuhusiana na hiyo injustice unayoizungumzia?
Au MwanaFA kufanya show siku moja na Jay Dee ndo injustice unayoizungumzia?
kwanini mliwazuia Lina na yule mwenzake wasishiriki katika show yake......
na pesa walishachukua!!!!!!!!ka so vijiba vya roho
by the way kaonyesha kuwa without Clouds the music Industry can stand and shine!!!!!!!
Nani aliwazuia na aliwazuiaje huyo aliyewazuia? Aliwafunga kamba mikononi na miguuni?
Music was there way before Clouds came into existence and it will outlive it. So what's your point?
My point is Bwa'Nchuchu should be a man enough to
stand for what is right na sio kuwa anabisha tu .....
Aliyewazuia na kuwakataza ni huyo anaejifanya kwamba Industry ya mziki
iko mikononi mwake........
I'm all for social justice. It is one of my passions.
Una ushahidi kwamba aliwazuia na kuwakataza? Na anajifanyaje kwamba tasnia ya muziki iko mikononi mwake? Unaweza kuelezea kwa unagaubaga?
Your passion my foot
wakisema wanaostand for justice wakutane Karimjee will you go!!!!!!
younow the truth and here you are pretending as if you know nothing
Tatizo MwanaFatuma...show yake hakutaka watu wengi....alafu na vile alitangaza watu watupie suti,madai yake classy show....aaaah the wananchi woote wakaenda kwa anaconda...akabaki na wavaa suti...LmAo!