Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Aibu yao Clouds media poleni sana kutumiwa na mabosi wenu
Madongo waliyokuwa wanarusha wakina fulani kwenye kipindi chao walinibooore ....Ushauri Nyie ni waajiriwa tu acheni kuonyesha beef za kijinga , kisa muwe upande wa Bosi wenu Rugay
na kwenye show ni kama walienda kupiga umbea tu......
jamani Nyani Ngabu chali msaada wa haraka unahitajika
Last edited by a moderator: