Acha kabisa kukumbusha issue ya chai aisei.Mkuu hujui tu ni jinsi gani umenitia uchungu kwa hili.
Winzio tunakuja potezea stress za sukari huku wewe unakumbushia.
Plus waziri wa mawasiliano na habaricc:waziri wa maendeleo ya jamii,jinsia na watoto
Hajasema kitu ni wambea tuuuMhhhhhhhh kalisemea wapi hili jamani?
Maana wabongo kwa chai hatujambo.
Japo inawezekana kasema lakini maana wale nao hatari sana ligi yao.
Team anaconda!Nasubiri kusikia yalaaàaaa
Likimpata mhusika.
YalaaaaaaaaaaaNasubiri kusikia yalaaàaaa
Likimpata mhusika.
Wakati ule anamuibia mwenzake hakuwa na uso kama tofali?Ha ha ha hilo tofali kaliona leo watu jamani
Kwani pale awali hakukiona kama tofali?Katika Naamka Concert wakati akiimba wimbo wa "siwema" kuna kale kamstari [emoji445] eti sababu yeye ni mzuri sana[emoji444] siwezi kupata mwingine kama yeye[emoji444] , jide akamalizia kichwa kama tofali! Watu wakalipuka kushangilia hali iliyoashiria dongo limeenda upande wa pili.
Jide afanye yake,kukimbizana mwanaume,tena rijali,hakuto msaidia chochote