Lady Jaydee apiga dongo gizani "kichwa kama tofali"

Ukitaka kujua kuwa mtu bado anakupenda na haja move on...ni kukuongelea ..kukupiga vidongo hadharan...jide plz grow up we ushakua ...achana na hilo janaume....yn unampa kiki bureeeee...
Huwezi kumsahau mwanaume aliyekukojoza kwa miaka 15. Ni wanawake wachache sana wanaweza .
 
Hahahaaa umenikumbusha kitu kuna mtu alishawahi kuniambia kwenda uko matege yale.....nikamuuliza ndiyo unayaona leo.
 
Anakosoa Kazi Ya uumbaji? and then anategemea kudura apate Mtoto...

Watu Wakiambiwa There is No God wanabisha hadi mishipa inawatoka... lakini wanavyotenda kazi zao na matendo yao yanadhihirisha kabisa there is no God... Period
 
Wewe si ndio tofali mwenyewe!!!?

Haswaaaaa......tofali linaheshima yake mana linatustili wengi...si ndio maana ukaitwa baba mwenye nyumba....yote kazi ya tofali..lol
 
Teh teh teh....kumbe nawe unajiita tofali? Hahahaaa

Ila huyo naye ana nafasi ya kuweza kuongelea maumbile ya watu kweli?

Yap yap....tofali lenye heshima zake....nyumba imara imejengwa na tofali imara...qwi qwi qwi...
Ana stress huyo..yn nilikua namuona jide wa maana kwa hili anashusha yn 40yrs lkn akili hamna..hiyo biashara ya kujibishana na maex awaachie kina lulu na 20s zao...
 
Huwezi kumsahau mwanaume aliyekukojoza kwa miaka 15. Ni wanawake wachache sana wanaweza .

Yeah ts true but aumie kimya kimyaaa chumbani kwake...ht mtu yoyote asijue..kwani ye wa kwanza kuachwaaaaaa aaargh ukomando uko wapi sasa mkurya hyuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…