Aisee ina maana wewe ulisha shuhudia G akifanya hivi au wewe ni muhusika wa maeneo yale au wewe ni wa pale? Unajua ndoa nyingi zina lindwa na uvumilivu kama wameweza kuvumiliana hadi sasa mi nafikiri inabidi uwapongeze na hakuna ndoa iliyo kamilika na kama watu wana aminiana Haya yanayo semwa yanaweza yasisaidie lolote.
hapo cha chacha!!!
usemayo ni kweli tupu ila si kwa yule bwana......we acha tu tuache tu!!.......ebu tufunge mjadala watajua wenyewe.Aisee ina maana wewe ulisha shuhudia G akifanya hivi au wewe ni muhusika wa maeneo yale au wewe ni wa pale? Unajua ndoa nyingi zina lindwa na uvumilivu kama wameweza kuvumiliana hadi sasa mi nafikiri inabidi uwapongeze na hakuna ndoa iliyo kamilika na kama watu wana aminiana Haya yanayo semwa yanaweza yasisaidie lolote.
he heeeeeeeeeeeeeeee!jamani GOSSIPI WANIPA RAHAAAA!Message delivered na bado mtaambulia ticket za show za bure na kuchakazwa mpaka mkome , wenzenu hao wanaendelea na ndoa yao, kwiwiwiwiwiwiwi bwahahahahahahahahaa Gadner mbayaaaa
Shemejiiiiiiiiii,naedeleaaa(in Mac Regan's voice)
wewe gardner atakua alikuacha vibaya sana aisee maana unatokwa povu vibaya..jaydee hanaga skendo za kipuuzi unataka kulazimisha watu wamuone mbaya..toka jide kaolewa ni miaka mingapi imepita maana kama ni laana zenu angeachika kitaambo ila yupo analisongesha na huyo gardner ndo kamng'ang'ania balaa wewe chuki yako sidhani hata kama itamnyima usingizi
Kama wenyew wanaishi kwa amani na furaha wewe kinachokuuma nini kama sio uchawi?
he heeeeeeeeeeeeeeee!jamani GOSSIPI WANIPA RAHAAAA!
kaka rutha ivi unamjua g unamsikia...palepale nyumbani longe anavikamua...pale hakuna ndoa bali maigizo..sasa kama ni ivyo kwamba wenye pesa wapo wengi si mpaka awapate sio wote wapuuzi mi nasema ni afadhali mtu umpe pesa mwanaume na huku akiwa na mapenzi ya kweli na wewe....sasa kipimo cha mapenzi ninini kama sio uaminifu?
Eeeh ebu tupe umbea kwanza wa huyo gadner binamu, maana jinsi unavyoongea inaonekana unayajua mengi ,au nikufuate kule ikulu?
Na isije tu kuwa unamponda na chuki zako binafsi, maana ntakuchamba uko uko pm ,aya ngoja nije unipe ubuyu
Umepotelea wapi
Binafsi namkubali jide kwa jinsi anavyojitambua na anavyojichukulia..