Lady Jaydee avunja rekodi ya Tuzo Tanzania nzima (2001 - 2014)

Lady Jaydee avunja rekodi ya Tuzo Tanzania nzima (2001 - 2014)

Aisee ina maana wewe ulisha shuhudia G akifanya hivi au wewe ni muhusika wa maeneo yale au wewe ni wa pale? Unajua ndoa nyingi zina lindwa na uvumilivu kama wameweza kuvumiliana hadi sasa mi nafikiri inabidi uwapongeze na hakuna ndoa iliyo kamilika na kama watu wana aminiana Haya yanayo semwa yanaweza yasisaidie lolote.

Duh akiendelea kutapika tena upuuzi wake basi huyu mtu atakuwa ni balaa
 
hapo cha chacha!!!

Message delivered na bado mtaambulia ticket za show za bure na kuchakazwa mpaka mkome , wenzenu hao wanaendelea na ndoa yao, kwiwiwiwiwiwiwi bwahahahahahahahahaa Gadner mbayaaaa

Shemejiiiiiiiiii,naedeleaaa(in Mac Regan's voice)
 
Aisee ina maana wewe ulisha shuhudia G akifanya hivi au wewe ni muhusika wa maeneo yale au wewe ni wa pale? Unajua ndoa nyingi zina lindwa na uvumilivu kama wameweza kuvumiliana hadi sasa mi nafikiri inabidi uwapongeze na hakuna ndoa iliyo kamilika na kama watu wana aminiana Haya yanayo semwa yanaweza yasisaidie lolote.
usemayo ni kweli tupu ila si kwa yule bwana......we acha tu tuache tu!!.......ebu tufunge mjadala watajua wenyewe.
 
Message delivered na bado mtaambulia ticket za show za bure na kuchakazwa mpaka mkome , wenzenu hao wanaendelea na ndoa yao, kwiwiwiwiwiwiwi bwahahahahahahahahaa Gadner mbayaaaa

Shemejiiiiiiiiii,naedeleaaa(in Mac Regan's voice)
he heeeeeeeeeeeeeeee!jamani GOSSIPI WANIPA RAHAAAA!
 
wewe gardner atakua alikuacha vibaya sana aisee maana unatokwa povu vibaya..jaydee hanaga skendo za kipuuzi unataka kulazimisha watu wamuone mbaya..toka jide kaolewa ni miaka mingapi imepita maana kama ni laana zenu angeachika kitaambo ila yupo analisongesha na huyo gardner ndo kamng'ang'ania balaa wewe chuki yako sidhani hata kama itamnyima usingizi

kula tano mine
ukweli mtupu
 
he heeeeeeeeeeeeeeee!jamani GOSSIPI WANIPA RAHAAAA!

Eeeh ebu tupe umbea kwanza wa huyo gadner binamu, maana jinsi unavyoongea inaonekana unayajua mengi ,au nikufuate kule ikulu?

Na isije tu kuwa unamponda na chuki zako binafsi, maana ntakuchamba uko uko pm ,aya ngoja nije unipe ubuyu
 
kaka rutha ivi unamjua g unamsikia...palepale nyumbani longe anavikamua...pale hakuna ndoa bali maigizo..sasa kama ni ivyo kwamba wenye pesa wapo wengi si mpaka awapate sio wote wapuuzi mi nasema ni afadhali mtu umpe pesa mwanaume na huku akiwa na mapenzi ya kweli na wewe....sasa kipimo cha mapenzi ninini kama sio uaminifu?

roho mbaya ni udhaifu...!
Kua nayo mwanadamu.!
Na haina uongofu kuendelea ni haramuuu!!
Pia utajikashifu ukiwa na roho ngumu
pia ni ulaanifu kujiwekea roho ngumu
kisa mafanikio mafanikio yangu yanawaumuza rohoni
mtaniendea mbio niendea mbio labda una wazimu kichwani
 
Eeeh ebu tupe umbea kwanza wa huyo gadner binamu, maana jinsi unavyoongea inaonekana unayajua mengi ,au nikufuate kule ikulu?

Na isije tu kuwa unamponda na chuki zako binafsi, maana ntakuchamba uko uko pm ,aya ngoja nije unipe ubuyu

Binabu unapenda umbea! mwambie amwage hapahapa.
 
Binabu unapenda umbea! mwambie amwage hapahapa.

Naona anasisitiza kweli kujua uchafu wa gadner ebu atupe maubuyu apa na ushabiki nauweka pembeni mimi kwenye umbea sina urafik wala ushabiki
 
Jide atabaki kuwa Jide" kwanza hii nyimbo yake mpya daaaah kali sana Give me love. Katuburudisha mda na bado yuko vizuri kwenye game damn
 
Back
Top Bottom