Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
nina mdogo wangu na rafiki yangu sana anaitwa sayuni.
Kwa heshima yake nimeshindwa kukupa majibu yako stahili.
Ila nakushauri usome kichwa cha uzi huu(heading of this thread).
Alafu urudi ndani usome maelezo yake na mchango wangu.
Angalia kati ya kichwa cha topic na yaliyoelezwa kama yanaendana.
Mwisho tafakari kati yangu na wewe nani hakuelewa ama hajaelewa.
Unao uhuru wa ku comment chochote ukisikiacho hayo ya heshima mambo mengine huwezi kuita mwenzio hivo pia title ya kitu au heading huwa ni kuvutia wasomaji tu not otherwise nataka hayo majibu sahihi hapa hapa