Lady Jaydee avunja rekodi ya Tuzo Tanzania nzima (2001 - 2014)

Lady Jaydee avunja rekodi ya Tuzo Tanzania nzima (2001 - 2014)

Najua unajua nikisema mtu kaibiwa ....hapo nyuma GADNER hakuna na kipato kama cha JIDE bahati nzuri wakawa ofisi moja...basi yule bibi ni vijizawadi kumpa gari aendeshe na mambo yote ya vishawishi huku akijua kaoa!...sasa wanaume walivyo dhaifu ndo ukakuta kazama...na unajua yule bwana hana mapenzi ya dhati ndo mana kutwa na visichana vingine na yule dada umri umekwenda ivyo anakufa kisabuni...afanye nini..sasa anaanza mara ana majini mahaba yananiandama usiku mara nini ninyi mnaompenda mshaurinii...mimi hapa sijamaanisha maisha ya shida ila ni zile Haja za moyo hapati...
Mimi naamini kama ungekuwa unasema kweli wala usinge tumia nguvu nyingi kutuaminisha Maana tungeona wenyewe kwa macho na hasingekuwa siri!

Mimi naamini G yuko na Jide sababu anampenda kwa dhati na kama Ingekuwa sababu ni pesa basi wangeisha achana maana Jide si mwanamke pekee mwenye pesa Dar au Tanzania bali wapi wengi sana!

Na hakuna mahusiano parfect hapa duniani!
Kwakweli mimi ntaendelea kumsifu G kwa upendo wake kwa Jide maana kama si upendo pengine wasinge kuwa pamoja!

Hivi kwanini mnachukia mkiona watu wamedumu pamoja?
 
usipaniki mzazi jibu hoja eti ana heshima kwenye jamii ya kuiba waume za watu...ona mikosi inamuandama....atashika pesa tu lakini vingine atavisikia redioni na kutizama picha ha ha haa ha!

Huna Hoja unaarisha tu apa upuuzi, huyo jide hana dhiki za kipuuzi na wala hana shobo na mtu, kama pesa anazo za kutosha na maisha yanaendelea kama unataka mtoto zaa wa kwako umlee
 
Kama aligonga akakudanganya atakuoa ndo imekula kwako, mume wa jide yule, na sasa ivi yupo kwa mkewe anakula bata, nyie kama mkiwashwa uko nyuma shemej gadner hana tatizo na mtu atawasugua tu ila akishawakojolea anarud kimara kwa mkewe, nyie hangaikeni tu kama kuku aliyepotea kwenye banda lake
mpaka raha jamani...sasa huyo ndo mume aliyempata comando wenu...sasa mtu anayempenda mkewe anafanya uchafu huo...jamani kwa nini huyo jiiide asitafute hata baba mjane atulie nae mwisho atapata na maukimwi bure! kisa nini sasa kinachomfanya amgande na huku hana msimamo kama unavykiri mwenyewe hapa.
 
wewe YULE ALIOA TENA KANISANI ndo akatokea msukule wenu akamuiba na ndumba juu...ndo mana alipozinduka ana haha kutoka na huyu mara yule!
Kumuita mwanamke mwenzio msukule wala haipendezi kabisa!

Hivi wewe unajuaje kama huyo mwanamke aliyo achwa na G hakuwa na tatizo? Wewe ni ndugu yako wa karibu?

Wewe unaamini kwenye ndumba ?
 
Huna Hoja unaarisha tu apa upuuzi, huyo jide hana dhiki za kipuuzi na wala hana shobo na mtu, kama pesa anazo za kutosha na maisha yanaendelea kama unataka mtoto zaa wa kwako umlee

ha haaaaaa haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Eeh geniveros ebu njoo umuone huyu msukule wa gwajima sijui katokea wapi eti Jide anategemea scandal, ivi anajielewa huyu? Ulishawahi kumuona jide ovyo kwenye magazeti na scandal za ajabu kama huyo bwana ako ndomo? Wewe hujui chochote kuhusu wasanii unaowazungumzia, ebu acha kupoteza mda wangu

Halafu unawashwa eeh? Unataka gadner akukune kama anavyowakunaga malaya wenzio wanaojipeleka pale nyumban lounge? Sasa mtagongwa sana na kutobolewa uko nyuma badae mnaachwa gadner anarudi kimar kwa mke wako , mbona mtafurahi na roho yenu. Na gadner alembi mkipeleka vipur vyenu anabandua tu
skendo s kweli anamsingizia maana ishu ya gadna mkewe ya mda sana since2003 na yule dada asa hv kabadili dini kaolewa na yeye
na mbona jida katoa albam nyingi tu hata baada ya ishu hyo
ye aseme hampendi tu...!!!
 
Last edited by a moderator:
mpaka raha jamani...sasa huyo ndo mume aliyempata comando wenu...sasa mtu anayempenda mkewe anafanya uchafu huo...jamani kwa nini huyo jiiide asitafute hata baba mjane atulie nae mwisho atapata na maukimwi bure! kisa nini sasa kinachomfanya amgande na huku hana msimamo kama unavykiri mwenyewe hapa.
Mbona unaongea kama wewe ndio muhusika mkuu?
 
Kumuita mwanamke mwenzio msukule wala haipendezi kabisa!

Hivi wewe unajuaje kama huyo mwanamke aliyo achwa na G hakuwa na tatizo? Wewe ni ndugu yako wa karibu?

Wewe unaamini kwenye ndumba ?

msukule najua sio neno zuri yeye anavyoita wenzake mwanahamisi na ni wanaume......jino kwa jino.....ana mdomo yule mwone vile vile akiwa nje!
 
Mimi naamini kama ungekuwa unasema kweli wala usinge tumia nguvu nyingi kutuaminisha Maana tungeona wenyewe kwa macho na hasingekuwa siri!

Mimi naamini G yuko na Jide sababu anampenda kwa dhati na kama Ingekuwa sababu ni pesa basi wangeisha achana maana Jide si mwanamke pekee mwenye pesa Dar au Tanzania bali wapi wengi sana!

Na hakuna mahusiano parfect hapa duniani!
Kwakweli mimi ntaendelea kumsifu G kwa upendo wake kwa Jide maana kama si upendo pengine wasinge kuwa pamoja!

Hivi kwanini mnachukia mkiona watu wamedumu pamoja?

Huyu labda mchepuko wa gadna ndo maana ana hasira
KUNA WIMBO JIDE ANASEMA KABISA MLISEMQ NTAOLEWA LINI,MKAJA NTAACHIJA LINI NA SASA NTAZAA LINI
ANA HUSDA TU HUYO DADA...!
 
hakuna mkuu kuna watu humu wanajifanya wanamjua sana wakati sio kweli...wanyamaze kabla sijamvua nguo...

binadamu mshumaa
unawaka huku unakwisha
na dunia ni hadaa
wahenga walithibitisha
ukiendekeza njaa
huendelei maisha
alo na husda ilomjaaa...!!!
huku yy anakeshaaa..
anakuombea balaa...!!
uyaakimbie maishaaa...
UNAPOJALIWA NEEMA YA MUNGU LAZIMA HUSDA IWEPO
MABAYA UTAOMBEWA PIA NA MAJUNGU NA NYINGI CHOKOCHOKO
MJA HUINUAAA..
IMANI TA MUNGUU...!
ATAOMBA DUA...!$
AMUUDHI MUNGUU..!!
MJA UNAJUAAA
KUMMUDHI MUNGU..
KWA LAANA ZAKOO...!!
 
Mimi naamini kama ungekuwa unasema kweli wala usinge tumia nguvu nyingi kutuaminisha Maana tungeona wenyewe kwa macho na hasingekuwa siri!

Mimi naamini G yuko na Jide sababu anampenda kwa dhati na kama Ingekuwa sababu ni pesa basi wangeisha achana maana Jide si mwanamke pekee mwenye pesa Dar au Tanzania bali wapi wengi sana!

Na hakuna mahusiano parfect hapa duniani!
Kwakweli mimi ntaendelea kumsifu G kwa upendo wake kwa Jide maana kama si upendo pengine wasinge kuwa pamoja!

Hivi kwanini mnachukia mkiona watu wamedumu pamoja?
kaka RUTHA ivi unamjua G UNAMSIKIA...PALEPALE NYUMBANI LONGE anavikamua...pale hakuna ndoa bali maigizo..sasa kama ni ivyo kwamba wenye pesa wapo wengi si mpaka awapate sio wote wapuuzi mi nasema ni afadhali mtu umpe pesa mwanaume na huku akiwa na mapenzi ya kweli na wewe....sasa kipimo cha mapenzi ninini kama sio UAMINIFU?
 
msukule najua sio neno zuri yeye anavyoita wenzake mwanahamisi na ni wanaume......jino kwa jino.....ana mdomo yule mwone vile vile akiwa nje!

Sasa mdomo wake wewe unakuhusu nini? Na wewe apa unafanya nini? Kama sio kupiga mdomo? Ebu acha unafik, mdomo ni wake na wewe una wake, kama unamtaka gadner imekula kwako kaoge
 
hakuna mkuu kuna watu humu wanajifanya wanamjua sana wakati sio kweli...wanyamaze kabla sijamvua nguo...

Eeh sasa unamtisha nani? Ebu tupe uo umbea apa sio unatutishia, maana hayo ndo tunayoyatala humu , sasa unaanza oooh gadner kama alikuacha kwenye mataa mtajijua wenyew umfuate uko kimar usitupigie makerere apa, aya mvue izo nguo tuone uchi wake maana unaongea sana
 
Najua unajua nikisema mtu kaibiwa ....hapo nyuma GADNER hakuna na kipato kama cha JIDE bahati nzuri wakawa ofisi moja...basi yule bibi ni vijizawadi kumpa gari aendeshe na mambo yote ya vishawishi huku akijua kaoa!...sasa wanaume walivyo dhaifu ndo ukakuta kazama...na unajua yule bwana hana mapenzi ya dhati ndo mana kutwa na visichana vingine na yule dada umri umekwenda ivyo anakufa kisabuni...afanye nini..sasa anaanza mara ana majini mahaba yananiandama usiku mara nini ninyi mnaompenda mshaurinii...mimi hapa sijamaanisha maisha ya shida ila ni zile Haja za moyo hapati...
Wewe Gardner atakua alikuacha vibaya sana aisee maana unatokwa povu vibaya..jaydee hanaga skendo za kipuuzi unataka kulazimisha watu wamuone mbaya..toka jide kaolewa ni miaka mingapi imepita maana kama ni laana zenu angeachika kitaambo ila yupo analisongesha na huyo Gardner ndo kamng'ang'ania balaa wewe chuki yako sidhani hata kama itamnyima usingizi
 
kaka RUTHA ivi unamjua G UNAMSIKIA...PALEPALE NYUMBANI LONGE anavikamua...pale hakuna ndoa bali maigizo..sasa kama ni ivyo kwamba wenye pesa wapo wengi si mpaka awapate sio wote wapuuzi mi nasema ni afadhali mtu umpe pesa mwanaume na huku akiwa na mapenzi ya kweli na wewe....sasa kipimo cha mapenzi ninini kama sio UAMINIFU?

Kama wenyew wanaishi kwa amani na furaha wewe kinachokuuma nini kama sio uchawi?
 
kaka RUTHA ivi unamjua G UNAMSIKIA...PALEPALE NYUMBANI LONGE anavikamua...pale hakuna ndoa bali maigizo..sasa kama ni ivyo kwamba wenye pesa wapo wengi si mpaka awapate sio wote wapuuzi mi nasema ni afadhali mtu umpe pesa mwanaume na huku akiwa na mapenzi ya kweli na wewe....sasa kipimo cha mapenzi ninini kama sio UAMINIFU?
Aisee ina maana wewe ulisha shuhudia G akifanya hivi au wewe ni muhusika wa maeneo yale au wewe ni wa pale? Unajua ndoa nyingi zina lindwa na uvumilivu kama wameweza kuvumiliana hadi sasa mi nafikiri inabidi uwapongeze na hakuna ndoa iliyo kamilika na kama watu wana aminiana Haya yanayo semwa yanaweza yasisaidie lolote.
 
Wewe Gardner atakua alikuacha vibaya sana aisee maana unatokwa povu vibaya..jaydee hanaga skendo za kipuuzi unataka kulazimisha watu wamuone mbaya..toka jide kaolewa ni miaka mingapi imepita maana kama ni laana zenu angeachika kitaambo ila yupo analisongesha na huyo Gardner ndo kamng'ang'ania balaa wewe chuki yako sidhani hata kama itamnyima usingizi

Ebu sema wewe, huyu msukule wa gwajima sijui katumwa clouds na mbona kachemka kama alimpa gadner uko chini akapachakaza na kumuacha atajibeba, ndo ajue tofauti ya mke na hawara, wenyew wanachezewa mwisho wa siku jamaa anarud kwa mkewe na bado mwaka huu
 
Huyu labda mchepuko wa gadna ndo maana ana hasira
KUNA WIMBO JIDE ANASEMA KABISA MLISEMQ NTAOLEWA LINI,MKAJA NTAACHIJA LINI NA SASA NTAZAA LINI
ANA HUSDA TU HUYO DADA...!

nicheke mie......jamani Jf raha sana..watu wana maneno matamu....he he heeeeeeeeeeeee!
 
Ebu sema wewe, huyu msukule wa gwajima sijui katumwa clouds na mbona kachemka kama alimpa gadner uko chini akapachakaza na kumuacha atajibeba, ndo ajue tofauti ya mke na hawara, wenyew wanachezewa mwisho wa siku jamaa anarud kwa mkewe na bado mwaka huu

hapo cha chacha!!!
 
Back
Top Bottom