The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Hawapigi tena track redioni, na hata kwenye TV hamnioni, na jina haliendi chini.
Najua mnashangaa hata mi Sijui kwa nini?
Jina linaenda chini taratibu
na yeye anajua ndo maana analalamika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapigi tena track redioni, na hata kwenye TV hamnioni, na jina haliendi chini.
Najua mnashangaa hata mi Sijui kwa nini?
Hao Clouds ndiyo waliomtoa Jaydee, ina maana leo kasahau? kweli shukrani ya mapunda mateke!
Mbona kaongea tena kimafumbo kama yeye kweli ni mwanaume na ameamua kufunguka?!
Cloudz ni genge la wahuni. Soon hiyo radio itaanza kuporomoka kama ilivyoanza fiesta.
Hao Clouds ndiyo waliomtoa Jaydee, ina maana leo kasahau? kweli shukrani ya mapunda mateke!