warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Msanii bora wa kike africa mashariki, Judith wambura mbibo aka lady jaydee ameandika kwenye ukurasa wake wa facebook idadi ya tuzo anazomiliki mpaka sasa, ambapo amesema hii ni tuzo yake ya 30 kupata toka aanze muziki mwaka 2000.
Ni juzi tu shabiki wake warumi alipost jumla ya idadi ya tuzo anazomiliki msanii huyo ambapo alitaja tuzo ishirini na tatu tu (23) , hivyo msanii huyo kaibuka na idadi kamili ya tuzo anazozishikilia mpaka sasa ambazo ni 30.
"Boss wangu (Lady jaydee) nikuombe radhi na mashabiki wote kwa kupunguza idadi ya tuzo kutoka 30 hadi 23, unajua dada jide tuzo zilikuwa nyingi sana hadi nikachanganyikiwa kuzi orodhesha zote, maana nilikuwa naona mawenge kweli maana tuzo ni nyingi balaa."
"Tuzo yangu ya 30. Ahsanteni kwa ushirikiano, nimeipokea na ninarudi nayo nyumbani. Shhhhhh!! Kimya kimya"
Alipost lady jaydee kwenye ukurasa wake wa facebook
Ni juzi tu shabiki wake warumi alipost jumla ya idadi ya tuzo anazomiliki msanii huyo ambapo alitaja tuzo ishirini na tatu tu (23) , hivyo msanii huyo kaibuka na idadi kamili ya tuzo anazozishikilia mpaka sasa ambazo ni 30.
"Boss wangu (Lady jaydee) nikuombe radhi na mashabiki wote kwa kupunguza idadi ya tuzo kutoka 30 hadi 23, unajua dada jide tuzo zilikuwa nyingi sana hadi nikachanganyikiwa kuzi orodhesha zote, maana nilikuwa naona mawenge kweli maana tuzo ni nyingi balaa."
"Tuzo yangu ya 30. Ahsanteni kwa ushirikiano, nimeipokea na ninarudi nayo nyumbani. Shhhhhh!! Kimya kimya"
Alipost lady jaydee kwenye ukurasa wake wa facebook
Last edited by a moderator: