Siwezi kukimbia. Nlishakuambiaga, mapenzi yetu ni wewe ndo utakayeniacha...
Dalili zimeanza kuonekana...
Mi navumilia tu... nimeshacheki presha nimekuta iko normal.Sababu mpo wengi,uwe unakumbusha kumbusha namba yako niliyokupa.
Huwa ninasahau ujue
Mi navumilia tu... nimeshacheki presha nimekuta iko normal.
We ndo uache kunifanyia visa...Hahaa acha hizo
We ndo uache kunifanyia visa...
Kuna maneno yanasambaa kitaa kuwa wanaija wana miguu mitatu, mmoja kilema. Dada yetu asipokuwa makini atasogezwa kizazi (kama anacho)Aaa babu bila visa maisha hayaendi,si unaona jay dee kaamua kuwafata wanaija walee tunaowaona kwenye video na vituko vyao
Hata marekani wanaogopewa Sana hao watuAombe sana Mungu amtangulie katika safari yake maana hao watu mara bokoharamu, utapeli, u tb Joshua, u nini mara unini!!
Kuna maneno yanasambaa kitaa kuwa wanaija wana miguu mitatu, mmoja kilema. Dada yetu asipokuwa makini atasogezwa kizazi (kama anacho)
Kati ya watu wote kapata Mnigeria? Asubiri majibu muda muafaka. Hawakopeshi hao jamaa.
Dhambi yakulipa kisasi haitamuacha, time will tell..masikini dada wa watu sijui kanyonywa wapi hadi akili haifanyi kazi ,wa Nigeria ni matapeli hatari lazima alizwe Time will tell
Malizia... Kama Lara 1[emoji125] [emoji125]Hatimaye mkojo utaisha sasa atakuwa anakojoa hewa..! Siaokoke tuuh..![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kama sumu inaonjwa kaonje na wewe uone..!Kwamba wanigeria woooote Hanna mzuri?
Kama sumu inaonjwa kaonje na wewe uone..!
Zimwi likujualo...Wewe in nani hadi unitume nikaonje? Tabia ya MTU ni ya MTU haijalishi nchi yake. Hapa bongo matapeli wapo kila kona ya dunia wapo.
We haujui wanigeria sifa yao duniani
Hahahah! Mengine mabonde unaweza lima mahindi[emoji41] [emoji41]Kwani si ni wanaume kama wewe?
Meaning that na nyie mnaingiaga mitaro yote.
Ni watu hatari na matapeli sana duniani.....China wamewaanzishia policy wakiwakamata wananyongaSifahamu ndio maana nimekuuliza.
SureAombe sana Mungu amtangulie katika safari yake maana hao watu mara bokoharamu, utapeli, u tb Joshua, u nini mara unini!!