Decree Holder
JF-Expert Member
- Jul 19, 2015
- 2,559
- 3,745
Watu wa mikoani malalamiko yenu nimeyasikia ila na mimi nina ya kwangu pia naomba myasikilize kwa umakini ili tuweze kwenda Sawa .
——————————————————————————————————————————————————————
Ukitoa Mwanza, Dodoma , Arusha , Geita na Mtwara kidogo muitikio wenu huwa unakuwa mdogo sana kwenye shows hii inakatisha tamaa kuwatembelea ——————————————————————————————————————————————————————
Pili mna kasumba ya kusema hamuamini kama msanii amefika hadi apitishwe kwenye PA awapungie mkono kama mbunge anaomba kura jimboni |
Radio zipo, TV zipo na simu mnazo za mkononi hiyo ni njia nzuri ya kutumia pamoja na vipeperushi|
Binafsi mambo ya kupita na kupunga mkono siyapendi hata kidogo na nikiitwa na promoter kitu cha kwanza namwambia hakikisha umefanya matangazo watu wameelewa otherwise sitaki mambo ya PA ——————————————————————————————————————————————————————
Hizi ni Zama za PA kweli jama ??
Na kisingizio huwa flani alitangazwa anakuja hakuja
Binadamu wote si Sawa, na tusihukumiwe kwa makosa ya watu wengine ambayo hayatuhusu
——————————————————————————————————————————————————————
Tatu , wengi wakifika mlangoni wanaomba kupunguziwa bei ya kiingilio [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Mtu anapoandaa shughuli ya kuwaburudisha mjue ameshapiga mahesabu kajua amegharamia kiasi gani na anataka gharama zake zirudi na apate faida pia , na nyie pia hapo hapo awape burudani |
Tujitahidi kuwa waelewa na kwenda na wakati ili kuepusha kero ndogo ndogo pamoja na malalamishi |
Ndio mwisho wa siku unajikuta mtu unarudi mikoa ile ile ambayo watu wanajitokeza na kuelewa |
Asanteni kwa mapenzi mema |
Ila Dodoma nitarudi very soon , sijui mmeniloga ♀️♀️ Ila pia huwa nafata Nyomi [emoji3][emoji3][emoji3]
——————————————————————————————————————————————————————
Halafu katika wasanii ambao hawabagui crowd ni mimi, maana JayDee ni wa watu wote wale Classy wa Serena na hata masela wangu vilevile.
Kwahiyo hajatengwa mtu wala nini |
Sehemu nilizowahi kupita nyie ni mashahidi kuwa nishafika hadi vijijini mwenu na kulala sehemu yoyote ile bila kujitia u star |
Mimi ni mtu humble sana , ila tu nina misimamo yangu pia .
——————————————————————————————————————————————————————
Ukitoa Mwanza, Dodoma , Arusha , Geita na Mtwara kidogo muitikio wenu huwa unakuwa mdogo sana kwenye shows hii inakatisha tamaa kuwatembelea ——————————————————————————————————————————————————————
Pili mna kasumba ya kusema hamuamini kama msanii amefika hadi apitishwe kwenye PA awapungie mkono kama mbunge anaomba kura jimboni |
Radio zipo, TV zipo na simu mnazo za mkononi hiyo ni njia nzuri ya kutumia pamoja na vipeperushi|
Binafsi mambo ya kupita na kupunga mkono siyapendi hata kidogo na nikiitwa na promoter kitu cha kwanza namwambia hakikisha umefanya matangazo watu wameelewa otherwise sitaki mambo ya PA ——————————————————————————————————————————————————————
Hizi ni Zama za PA kweli jama ??
Na kisingizio huwa flani alitangazwa anakuja hakuja
Binadamu wote si Sawa, na tusihukumiwe kwa makosa ya watu wengine ambayo hayatuhusu
——————————————————————————————————————————————————————
Tatu , wengi wakifika mlangoni wanaomba kupunguziwa bei ya kiingilio [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Mtu anapoandaa shughuli ya kuwaburudisha mjue ameshapiga mahesabu kajua amegharamia kiasi gani na anataka gharama zake zirudi na apate faida pia , na nyie pia hapo hapo awape burudani |
Tujitahidi kuwa waelewa na kwenda na wakati ili kuepusha kero ndogo ndogo pamoja na malalamishi |
Ndio mwisho wa siku unajikuta mtu unarudi mikoa ile ile ambayo watu wanajitokeza na kuelewa |
Asanteni kwa mapenzi mema |
Ila Dodoma nitarudi very soon , sijui mmeniloga ♀️♀️ Ila pia huwa nafata Nyomi [emoji3][emoji3][emoji3]
——————————————————————————————————————————————————————
Halafu katika wasanii ambao hawabagui crowd ni mimi, maana JayDee ni wa watu wote wale Classy wa Serena na hata masela wangu vilevile.
Kwahiyo hajatengwa mtu wala nini |
Sehemu nilizowahi kupita nyie ni mashahidi kuwa nishafika hadi vijijini mwenu na kulala sehemu yoyote ile bila kujitia u star |
Mimi ni mtu humble sana , ila tu nina misimamo yangu pia .