Lady jaydee na Diamond wang'ara kili music awards.

Lady jaydee na Diamond wang'ara kili music awards.

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Baraza la sanaa Tanzania(basata) wametangaza majina ya wasanii walioteuliwa kuwania tuzo za kill music award katika vipengele 34, lakini kikubwa ni jinsi wasanii Diamond na Lady jaydee walivyochomoza kwenye category kibao, diamond amekuwa nominated kwenye category saba ambazo ni wimbo bora wa mwaka(number one),wimbo bora wa afro pop(number one),muimbaji bora wa kizazi kipya, mtunzi bora kizazi kipya,video bora ya mwaka(number one) na wimbo bora wa kushirikiana(muziki gani ) kwa upande wa lady jaydee yeye ame appear kwenye category za wimbo bora wa mwaka(joto hasira), wimbo bora wa afro pop(joto hasira), wimbo bora wa zouk(Yahaya),mwimbaji bora wa kike bongo fleva,video bora ya mwaka(Yahaya n joto hasira), wimbo bora wa kushirikiana(joto hasira).
 
Baraza la sanaa Tanzania(basata) wametangaza majina ya wasanii walioteuliwa kuwania tuzo za kill music award katika vipengele 34, lakini kikubwa ni jinsi wasanii Diamond na Lady jaydee walivyochomoza kwenye category kibao, diamond amekuwa nominated kwenye category saba ambazo ni wimbo bora wa mwaka(number one),wimbo bora wa afro pop(number one),muimbaji bora wa kizazi kipya, mtunzi bora kizazi kipya,video bora ya mwaka(number one) na wimbo bora wa kushirikiana(muziki gani ) kwa upande wa lady jaydee yeye ame appear kwenye category za wimbo bora wa mwaka(joto hasira), wimbo bora wa afro pop(joto hasira), wimbo bora wa zouk(Yahaya),mwimbaji bora wa kike bongo fleva,video bora ya mwaka(Yahaya n joto hasira), wimbo bora wa kushirikiana(joto hasira).
Anaconda juu,hata juzi tumechat nkakwambia hawana ujanja lazima wakuweke tu
 
Hasira za mkisi furaha ya mvuvi... bifu la clouds linazidi kumpaisha Jide
 
Warumii yaan Omy D ni punga?nilipitwa kule aisee ni kweli
 
Warumii yaan Omy D ni punga?nilipitwa kule aisee ni kweli

Ivi kule mbona kumekatizwa kiaina mimi bado nna maswali kichwani kuhusu Dimpoz,Ney wa Mitego naona kama tumetengenezwa vile ngoja warumi akuje hapa tupate maelezo yakinifu kama vipi turudi kwenye uzi ule ule ili hapa pabaki na habari Diamond na Jide.
 
Last edited by a moderator:
Warumii yaan Omy D ni punga?nilipitwa kule aisee ni kweli

Binamu nakwambiaga kila siku Mimi nikileta udaku humu ni wa kweli yaan ni confirmed, uwa sibahatishi, umeona wapi aiseeh?
 
Ivi kule mbona kumekatizwa kiaina mimi bado nna maswali kichwani kuhusu Dimpoz,Ney wa Mitego naona kama tumetengenezwa vile ngoja warumi akuje hapa tupate maelezo yakinifu kama vipi turudi kwenye uzi ule ule ili hapa pabaki na habari Diamond na Jide.

mkuu mm nikileta udaku humu its confirmed wote niliowataja ni mapunga, siwezi kuleta mambo ya kutunga, habari zangu hazipatikani Facebook wala twitter yaani ukitaka ujue yanayojir kuhusu hawa mastaa usisite kukaa karibu na warumi
 
Last edited by a moderator:
mkuu mm nikileta udaku humu its confirmed wote niliowataja ni mapunga, siwezi kuleta mambo ya kutunga, habari zangu hazipatikani Facebook wala twitter yaani ukitaka ujue yanayojir kuhusu hawa mastaa usisite kukaa karibu na warumi


Nipo tayari kukupa support uanzishe blog then ntalazimisha office yetu ilete adverts huko halafu tugawane mpungaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom