Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Warumii yaan Omy D ni punga?nilipitwa kule aisee ni kweli
Nimekufwata wewe huku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warumii yaan Omy D ni punga?nilipitwa kule aisee ni kweli
Hebu fafanua hapo Ommy D punga kiaje
Binamu nakwambiaga kila siku Mimi nikileta udaku humu ni wa kweli yaan ni confirmed, uwa sibahatishi, umeona wapi aiseeh?
Nimekufwata wewe huku
Kuna uji wa moto nimeuleta binamu wahi kabla haujapoa
Kuna uji wa moto nimeuleta binamu wahi kabla haujapoa
Upo kwenye jukwaa binam, wa lulu, wahi wanaweza utoa
Mwanafatuma sijui anajisikiaje?
Jamani mimi mgeni mjini hapa mwanafatuma ndo nani?
Nimesha uwahi binamu ngoja niende instagram sasa naweza nikapata viungo vya huo uji.
Nimesha uwahi binamu ngoja niende instagram sasa naweza nikapata viungo vya huo uji.
Nipoooooo nimekujaa
Baraza la sanaa Tanzania(basata) wametangaza majina ya wasanii walioteuliwa kuwania tuzo za kill music award katika vipengele 34, lakini kikubwa ni jinsi wasanii Diamond na Lady jaydee walivyochomoza kwenye category kibao, diamond amekuwa nominated kwenye category saba ambazo ni wimbo bora wa mwaka(number one),wimbo bora wa afro pop(number one),muimbaji bora wa kizazi kipya, mtunzi bora kizazi kipya,video bora ya mwaka(number one) na wimbo bora wa kushirikiana(muziki gani ) kwa upande wa lady jaydee yeye ame appear kwenye category za wimbo bora wa mwaka(joto hasira), wimbo bora wa afro pop(joto hasira), wimbo bora wa zouk(Yahaya),mwimbaji bora wa kike bongo fleva,video bora ya mwaka(Yahaya n joto hasira), wimbo bora wa kushirikiana(joto hasira).