Yanafahamika, naona siku hizi kawa mbabe sana yule dogoAmeyataja matatizo yenyewe?
Kiherehere chake tuAliulizwa nani aliyesimama nae wakati akiwa kwenye matatizo.
Kipindi kile mlisingizia hana vyetiAmeyataja matatizo yenyewe?
Hvi kumbe lile bifu la dada Jide na domo liliisha? Maana hawa nao walikua hawapatanagi, mmh nimefurahi kumuona jide kwa mara ya kwanza kwenye event inayomhusu Diamond, kweli dada jide siku hizi kakua View attachment 1148940
Kama sanda jaman , itakua Martin ndo kamshonea tu
Nimejikuta nacheka duh!
Hivi alishavipata vyeti vyake?πππKipindi kile mlisingizia hana vyeti
Kumbe alikuwa navyo? So alikuja navyo kwenye birthday kuwaprove wrong watu?Kipindi kile mlisingizia hana vyeti
ila we nyauuuu kuna siku utakuja unilaze MOIKama sanda jaman , itakua Martin ndo kamshonea tu
HIZI TV jamani! Wooooih!
Haaaaaah. Mkuu huku unakoenda mbaali sana. Tafadhari futa kauli ykoHujayajua?huyu Bwana hakuwa akizalisha mkewe,labda mbegu za Mondi zimesaidia.
Hvi kumbe lile bifu la dada Jide na domo liliisha? Maana hawa nao walikua hawapatanagi, mmh nimefurahi kumuona jide kwa mara ya kwanza kwenye event inayomhusu Diamond, kweli dada jide siku hizi kakua View attachment 1148940
Hvi kumbe lile bifu la dada Jide na domo liliisha? Maana hawa nao walikua hawapatanagi, mmh nimefurahi kumuona jide kwa mara ya kwanza kwenye event inayomhusu Diamond, kweli dada jide siku hizi kakua View attachment 1148940