Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
- #81
Duh kijana kama umetumwa hajawahi kuomba hata msaada huyu dada Comandoooo
Hye hye hye hyee we kweli umekariri...
Kwa taarifa yako hata Comando, zake zikifika anakufa tu.
Tena wengine wanakufa kifala kweli.
Usidanganywe na Movie zile unazoziangalia kwenye mabanda yenu huko unakoishi.