Lady JD chali, Watu Wanacheza bila Kukunja Goti...

Lady JD chali, Watu Wanacheza bila Kukunja Goti...

Mwenye akili timamu hawezi kulinganisha uwezo wa dagaa na Papa. Jaydee namba nyingine kabisa huyo muimba Commercial hata umpigie promo mpaka mdomo ukupauke atasubiri sana Jide ashuke. JAYDEE ndiyo ameshakaa kwenye usukani.
 
i don't know whether you are the man or woman...but you sound like a bitch. people are feed up with this nonsense and stupidity. please moderator get rid of this shit...


It was...
now days kaisha, kabaki kama mkia wa Mbuzi...haustiri uchi wala haufukuzi Nzi...
 
da yaani nimekuja mbiombio kweli alimanusura nimwage maandazi ya watu nikajua lady jay dee kaliwa uroda akiwa chali kumbe ni majungu yenu ya kimziki tu
 
tunaoiona kesho tulisimama imara na kuweka msimamo kuwa huyu kikongwe kaishiwa na anatapata tu ili apate huruma ya wakurupukaji...

yametimia ya waungwana.
hatimae Old Lady toka mkoa wa Mara zile nyimbo zake mbili ambazo alishauriwa akawauzie wakulima wa Mpunga ili zitumike kufukuzia Ndege, leo hii hazisikiki.
Joto hasira na Yahaya hata Kilabuni hazivumi tena, hapo anapofanya shoo na kwaya yake napo kwishney.

Wakati upande wa pili Mwana FA ambaye aliwahi kutuhumiwa na Bibi huyu akiwa anaunguruma ipasavyo kwenye kibao kilichoibamba Africa Mashariki kwa sasa kinachokwenda kwa jina la Cheza bila kukunja goti akiwa anafanya vema na kukimbiza.

Hakika Jide kapotea kama harufu ya Ushuzi...

Umelipwa kiasi gani ili uje kumchafua Komandoo aka anakonda hapa Jukwaani?
Kumbuka Jide anatisha yupo level zingine kabisa na ameendelea kuutunza muziki wake. Huyo FA mbona nyimbo zake nzuri ni zile alizotoa na Jide mfano hawajui angalia Jide alivyoimba safi kamfunika hadi FA
 
aisee duu hivi cheza bila kukunja goti na yahaya hipi inapata air time kubw

are serious kuandika ulicho kiandika?duuu.

hao hawawezi kushindana na jide kabisa hasa mwana fa.

HAHAHA UMENICHEKESHA NA HIZI NDOTO ZAKO.

Huyo huwa anasikiliza redio ya mateja Clouds
 
fikil kabla ya kuandika sio unaandika ndo unafikir..mwanaume kuwa na chuki za kike sio issue
 
tunaoiona kesho tulisimama imara na kuweka msimamo kuwa huyu kikongwe kaishiwa na anatapata tu ili apate huruma ya wakurupukaji...

yametimia ya waungwana.
hatimae Old Lady toka mkoa wa Mara zile nyimbo zake mbili ambazo alishauriwa akawauzie wakulima wa Mpunga ili zitumike kufukuzia Ndege, leo hii hazisikiki.
Joto hasira na Yahaya hata Kilabuni hazivumi tena, hapo anapofanya shoo na kwaya yake napo kwishney.

Wakati upande wa pili Mwana FA ambaye aliwahi kutuhumiwa na Bibi huyu akiwa anaunguruma ipasavyo kwenye kibao kilichoibamba Africa Mashariki kwa sasa kinachokwenda kwa jina la Cheza bila kukunja goti akiwa anafanya vema na kukimbiza.

Hakika Jide kapotea kama harufu ya Ushuzi...

Ndo shida ya kuchanganya viroba!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
We utakuwa mpambe wa mwana fa.mwambie kazi aliyokutuma ushamaliza hivyo mfanye malipo
 
Gang Chomba....umeongea ukweli mtupu man!..wenye wivu wajinyonge sana wenye wivu wajinyongeeeee! hana jipya ajuza
 
Back
Top Bottom