Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
- #141
ahaa gang (chamba) commando atakuwepo na psquare soon utakuwepo.wewe kajadili ac milan.
Wewe kajadili Baikoko...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahaa gang (chamba) commando atakuwepo na psquare soon utakuwepo.wewe kajadili ac milan.
It was...
now days kaisha, kabaki kama mkia wa Mbuzi...haustiri uchi wala haufukuzi Nzi...
Pandisha Gagulo kisha piga kimya...
tunaoiona kesho tulisimama imara na kuweka msimamo kuwa huyu kikongwe kaishiwa na anatapata tu ili apate huruma ya wakurupukaji...
yametimia ya waungwana.
hatimae Old Lady toka mkoa wa Mara zile nyimbo zake mbili ambazo alishauriwa akawauzie wakulima wa Mpunga ili zitumike kufukuzia Ndege, leo hii hazisikiki.
Joto hasira na Yahaya hata Kilabuni hazivumi tena, hapo anapofanya shoo na kwaya yake napo kwishney.
Wakati upande wa pili Mwana FA ambaye aliwahi kutuhumiwa na Bibi huyu akiwa anaunguruma ipasavyo kwenye kibao kilichoibamba Africa Mashariki kwa sasa kinachokwenda kwa jina la Cheza bila kukunja goti akiwa anafanya vema na kukimbiza.
Hakika Jide kapotea kama harufu ya Ushuzi...
aisee duu hivi cheza bila kukunja goti na yahaya hipi inapata air time kubw
are serious kuandika ulicho kiandika?duuu.
hao hawawezi kushindana na jide kabisa hasa mwana fa.
HAHAHA UMENICHEKESHA NA HIZI NDOTO ZAKO.
tunaoiona kesho tulisimama imara na kuweka msimamo kuwa huyu kikongwe kaishiwa na anatapata tu ili apate huruma ya wakurupukaji...
yametimia ya waungwana.
hatimae Old Lady toka mkoa wa Mara zile nyimbo zake mbili ambazo alishauriwa akawauzie wakulima wa Mpunga ili zitumike kufukuzia Ndege, leo hii hazisikiki.
Joto hasira na Yahaya hata Kilabuni hazivumi tena, hapo anapofanya shoo na kwaya yake napo kwishney.
Wakati upande wa pili Mwana FA ambaye aliwahi kutuhumiwa na Bibi huyu akiwa anaunguruma ipasavyo kwenye kibao kilichoibamba Africa Mashariki kwa sasa kinachokwenda kwa jina la Cheza bila kukunja goti akiwa anafanya vema na kukimbiza.
Hakika Jide kapotea kama harufu ya Ushuzi...
We utakuwa mpambe wa mwana fa.mwambie kazi aliyokutuma ushamaliza hivyo mfanye malipo
It was...
now days kaisha, kabaki kama mkia wa Mbuzi...haustiri uchi wala haufukuzi Nzi...
kucheza bila kukunja goti ndo kitu gani??