Laini za simu kufungwa, akaunti za pesa kubaki

Laini za simu kufungwa, akaunti za pesa kubaki

fikirikwanza

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
7,452
Reaction score
3,071
Tunajua laini za simu szisizosajiriwa ikifika 31Desemba Kisha 20Januari 2020, zitafungwa.

Tunajua serikali ilipitisha na kuridhia laini za simu kuwa akaunti za pesa pia

Tunajua simu ikifungwa akaunti ya pesa haiwezi kutumika, maana unaanza kuwa na laini ndio upate akaunti ya pesa na sio kinyume chake.

1. Hoja na swali langu kwa vile laini za simu zinafungwa kwa matatizo ya kimawasiliano na sio ya kipesa, je baada ya kuzifunga hapo 20 Jan 2020, wenye akaunti za pesa, pesa zao na akaunti zao zitakumbwa na kitu gani ama itakuwaje mtu kutumia akaunti yake ili hali simu imefungwa?

2. Zamani laini ikikaa miezi 3 kama sijakosema watoa huduma wanairejesha laini na kumpatia mtu mwingine muhitaji, je baada ya kusajiri laini yenye usajili wa mtu kwa alama za vidole, itaishi milele ama isipotumika itafungwa pia na kupewa mtu mwingine?

Naomba kuwasilisha kwa maelezo na maelekezo
 
Mi nina laini ya tigo waliifunga kwa kigezo ilikaa muda mreru bila kuweka vocha.
Hiyo laini haipokei msg ya aina yoyote, haipokei kifurushi, haiwezi kuongeza vocha pia. Ila incoming call zinakubali, nikipigiwa simu inaingia, nikitumiwa pesa inaingia bila msg na pia naweza kutuma pesa. Nikijinulia kifurushi, hela inakatwa ila baada ya masaa kadhaa inarudi kwenye tigo pesa.
Nadhani itakuwa namna hii kwa watakaofungwa.
 
Hahaha.... Ila Kuna wa-tanzania wengi ambao huwa wana hifadhi pesa katika simu'' pia Kuna baadhi ambao wamejiunga na mobile banking ". So endapo line zitafungiwa it means huduma zote hizo zitakwenda ku- corrupt kwa victims ambao watafungiwa ".........

Kwa namna 1 Ama nyingi unaweza kuona jinsi ambavyo taifa hili lilivyo na viongozi vichaa
Na hakuna laini itakayofungwa labda zisizo na madeni ila kama zangu wakizifunga wamekula hasara tu [emoji13][emoji13]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha.... Ila Kuna wa-tanzania wengi ambao huwa wana hifadhi pesa katika simu'' pia Kuna baadhi ambao Ambao wamejiunga na mobile banking ". So endapo line zitafungiwa it means huduma zote hizo zitakwenda ku- corrupt kwa victims ambao watafungiwa ".........

Kwa namna 1 Ama nyingi unaweza kuona jinsi ambavyo taifa hili lilivyo na viongozi vichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwenye sim-banking ndo watakamata wengi.
Ila hatukosi namna mpwa
 
watu waodaiana kwa simu nao huenda wakapata ahueni, maana mmoja yuko mbeya mwingine dar, sasa mdaiwa akifungiwa simu what a last minutes save?
 
Hahaha.... Ila Kuna wa-tanzania wengi ambao huwa wana hifadhi pesa katika simu'' pia Kuna baadhi ambao Ambao wamejiunga na mobile banking ". So endapo line zitafungiwa it means huduma zote hizo zitakwenda ku- corrupt kwa victims ambao watafungiwa ".........

Kwa namna 1 Ama nyingi unaweza kuona jinsi ambavyo taifa hili lilivyo na viongozi vichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunajua laini za simu szisizosajiriwa ikifika 31Desemba Kisha 20Januari 2020, zitafungwa.

Tunajua serikali ilipitisha na kuridhia laini za simu kuwa akaunti za pesa pia

Tunajua simu ikifungwa akaunti ya pesa haiwezi kutumika, maana unaanza kuwa na laini ndio upate akaunti ya pesa na sio kinyume chake.

1. Hoja na swali langu kwa vile laini za simu zinafungwa kwa matatizo ya kimawasiliano na sio ya kipesa, je baada ya kuzifunga hapo 20 Jan 2020, wenye akaunti za pesa, pesa zao na akaunti zao zitakumbwa na kitu gani ama itakuwaje mtu kutumia akaunti yake ili hali simu imefungwa?

2. Zamani laini ikikaa miezi 3 kama sijakosema watoa huduma wanairejesha laini na kumpatia mtu mwingine muhitaji, je baada ya kusajiri laini yenye usajili wa mtu kwa alama za vidole, itaishi milele ama isipotumika itafungwa pia na kupewa mtu mwingine?

Naomba kuwasilisha kwa maelezo na maelekezo

Wakijibu hii kitu nistue nije kusoma jibu!
 
Back
Top Bottom