Laini za simu kufungwa, akaunti za pesa kubaki

Laini za simu kufungwa, akaunti za pesa kubaki

Kheee inabid ufatilie hili swala,usipuuzie
Nilivyo pata kitambulisho nilikwenda kusajili laini yangu ya tigo Sasa Leo nakwenda kusajili ya halotel ikagoma namuuliza jamaa kulikoni ananiambia kitambulisho chako kimesha sajili laini tano hivyo huwezi kusajili tena nilibaki kuduaa Kama nimechomwa na miba vile. Niiyombe serekali hili zoezi limesha oza limesha ingiliwa na wajanja wa mjini tufanye utaratibu was kuwazibiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilivyo pata kitambulisho nilikwenda kusajili laini yangu ya tigo Sasa Leo nakwenda kusajili ya halotel ikagoma namuuliza jamaa kulikoni ananiambia kitambulisho chako kimesha sajili laini tano hivyo huwezi kusajili tena nilibaki kuduaa Kama nimechomwa na miba vile. Niiyombe serekali hili zoezi limesha oza limesha ingiliwa na wajanja wa mjini tufanye utaratibu was kuwazibiti.
# WAFUNGE TU
 
kwa hili natabiri maandamano yanayoweza kumuondoa jiwe madarakani
 
Tunajua laini za simu szisizosajiriwa ikifika 31Desemba Kisha 20Januari 2020, zitafungwa.

Tunajua serikali ilipitisha na kuridhia laini za simu kuwa akaunti za pesa pia

Tunajua simu ikifungwa akaunti ya pesa haiwezi kutumika, maana unaanza kuwa na laini ndio upate akaunti ya pesa na sio kinyume chake.

1. Hoja na swali langu kwa vile laini za simu zinafungwa kwa matatizo ya kimawasiliano na sio ya kipesa, je baada ya kuzifunga hapo 20 Jan 2020, wenye akaunti za pesa, pesa zao na akaunti zao zitakumbwa na kitu gani ama itakuwaje mtu kutumia akaunti yake ili hali simu imefungwa?

2. Zamani laini ikikaa miezi 3 kama sijakosema watoa huduma wanairejesha laini na kumpatia mtu mwingine muhitaji, je baada ya kusajiri laini yenye usajili wa mtu kwa alama za vidole, itaishi milele ama isipotumika itafungwa pia na kupewa mtu mwingine?

Naomba kuwasilisha kwa maelezo na maelekezo
Mda unatakiwa uongezwe mpaka mwezi wa 6 foleni bado kubwa sana
 
Aisee
Nilivyo pata kitambulisho nilikwenda kusajili laini yangu ya tigo Sasa Leo nakwenda kusajili ya halotel ikagoma namuuliza jamaa kulikoni ananiambia kitambulisho chako kimesha sajili laini tano hivyo huwezi kusajili tena nilibaki kuduaa Kama nimechomwa na miba vile. Niiyombe serekali hili zoezi limesha oza limesha ingiliwa na wajanja wa mjini tufanye utaratibu was kuwazibiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom