#WAFUNGE TU#WAFUNGETU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#WAFUNGE TU#WAFUNGETU
Nilivyo pata kitambulisho nilikwenda kusajili laini yangu ya tigo Sasa Leo nakwenda kusajili ya halotel ikagoma namuuliza jamaa kulikoni ananiambia kitambulisho chako kimesha sajili laini tano hivyo huwezi kusajili tena nilibaki kuduaa Kama nimechomwa na miba vile. Niiyombe serekali hili zoezi limesha oza limesha ingiliwa na wajanja wa mjini tufanye utaratibu was kuwazibiti.
# WAFUNGE TUNilivyo pata kitambulisho nilikwenda kusajili laini yangu ya tigo Sasa Leo nakwenda kusajili ya halotel ikagoma namuuliza jamaa kulikoni ananiambia kitambulisho chako kimesha sajili laini tano hivyo huwezi kusajili tena nilibaki kuduaa Kama nimechomwa na miba vile. Niiyombe serekali hili zoezi limesha oza limesha ingiliwa na wajanja wa mjini tufanye utaratibu was kuwazibiti.
Kama wageni wataruhusiwa kutumia passports zao kwa nini watz wenye pass za Tz wasiruhusiwe kusajili line zao? Hii Ndiyo double standard za kibongo kuthamini vya nje na kudharau vya kwako
#WAFUNGE TU
bado siku chache mno ,#WAFUNGE TU
Sio kwa Tanzania mkuu.kwa hili natabiri maandamano yanayoweza kumuondoa jiwe madarakani
Kwa watanzania hawa? sahaukwa hili natabiri maandamano yanayoweza kumuondoa jiwe madarakani
Mda unatakiwa uongezwe mpaka mwezi wa 6 foleni bado kubwa sanaTunajua laini za simu szisizosajiriwa ikifika 31Desemba Kisha 20Januari 2020, zitafungwa.
Tunajua serikali ilipitisha na kuridhia laini za simu kuwa akaunti za pesa pia
Tunajua simu ikifungwa akaunti ya pesa haiwezi kutumika, maana unaanza kuwa na laini ndio upate akaunti ya pesa na sio kinyume chake.
1. Hoja na swali langu kwa vile laini za simu zinafungwa kwa matatizo ya kimawasiliano na sio ya kipesa, je baada ya kuzifunga hapo 20 Jan 2020, wenye akaunti za pesa, pesa zao na akaunti zao zitakumbwa na kitu gani ama itakuwaje mtu kutumia akaunti yake ili hali simu imefungwa?
2. Zamani laini ikikaa miezi 3 kama sijakosema watoa huduma wanairejesha laini na kumpatia mtu mwingine muhitaji, je baada ya kusajiri laini yenye usajili wa mtu kwa alama za vidole, itaishi milele ama isipotumika itafungwa pia na kupewa mtu mwingine?
Naomba kuwasilisha kwa maelezo na maelekezo
Umenikumbusha Nina pesa kwenye account.
Ngoja nikaitoe kabla haijakwenda.
Mimi nawaona vichaa kwa sababu wamefanya zoezi la kupata vitambulisho kuwa gumu.
Wacha wafunge tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
roaming.
Nilivyo pata kitambulisho nilikwenda kusajili laini yangu ya tigo Sasa Leo nakwenda kusajili ya halotel ikagoma namuuliza jamaa kulikoni ananiambia kitambulisho chako kimesha sajili laini tano hivyo huwezi kusajili tena nilibaki kuduaa Kama nimechomwa na miba vile. Niiyombe serekali hili zoezi limesha oza limesha ingiliwa na wajanja wa mjini tufanye utaratibu was kuwazibiti.