Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi usijali.
watakaofungwa tena?Mi nina laini ya tigo waliifunga kwa kigezo ilikaa muda mreru bila kuweka vocha.
Hiyo laini haipokei msg ya aina yoyote, haipokei kifurushi, haiwezi kuongeza vocha pia. Ila incoming call zinakubali, nikipigiwa simu inaingia, nikitumiwa pesa inaingia bila msg na pia naweza kutuma pesa. Nikijinulia kifurushi, hela inakatwa ila baada ya masaa kadhaa inarudi kwenye tigo pesa.
Nadhani itakuwa namna hii kwa watakaofungwa.
Juzi comrade kasema siyo yeye anayelazimisha watu wasajiliwe line zao, bali mfumo wa dunia ndiyo unalazimisha iwe hivyo.
Ogopa sana.
uliona kazi kuanzisha uzi wako mpaka udandie wangu?Tunajua laini za simu szisizosajiriwa ikifika 31Desemba Kisha 20Januari 2020, zitafungwa.
Tunajua serikali ilipitisha na kuridhia laini za simu kuwa akaunti za pesa pia
Tunajua simu ikifungwa akaunti ya pesa haiwezi kutumika, maana unaanza kuwa na laini ndio upate akaunti ya pesa na sio kinyume chake.
1. Hoja na swali langu kwa vile laini za simu zinafungwa kwa matatizo ya kimawasiliano na sio ya kipesa, je baada ya kuzifunga hapo 20 Jan 2020, wenye akaunti za pesa, pesa zao na akaunti zao zitakumbwa na kitu gani ama itakuwaje mtu kutumia akaunti yake ili hali simu imefungwa?
2. Zamani laini ikikaa miezi 3 kama sijakosema watoa huduma wanairejesha laini na kumpatia mtu mwingine muhitaji, je baada ya kusajiri laini yenye usajili wa mtu kwa alama za vidole, itaishi milele ama isipotumika itafungwa pia na kupewa mtu mwingine?
Naomba kuwasilisha kwa maelezo na maelekezo
Halafu mbona imekuwa lazima hivi kuelekea uchaguzi mkuu?
Line zikifungwa huduma nyingi zitawama..sidhani Kama Kuna kufungiwa line.
Sent using Jamii Forums mobile app
HayaaBasi usijali.
Ngoja nikirudi nitafute ile ttcl yangu,utaiona mwisho 444
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo partner ni kampuni na wala sio laini ya simu ya kampuni husika.Roaming ni gharama sana mkuu, pia inategemea huyo mgeni anatokea wapi. Huo mtandao anaotumia ni lazima uwe na roaming partner hapa bongo (I stand to be corrected)
Sent using Jamii Forums mobile app
SijakuelewaHuyo partner ni kampuni na wala sio laini ya simu ya kampuni husika.
Mfano, kama haupo Kenya, ukienda Kenya na laini yako ya Voda kwenye simu, uki-set roam, ukitua tu Nairobi (kama unatumia ndege), unapata mawasiliano kupitia Safaricom bila kuwa na laini ya Safaricom.
Mfano, kama haupo Kenya, ukienda Kenya na laini yako ya Voda kwenye simu, uki-set roam, ukitua tu Nairobi (kama unatumia ndege), unapata mawasiliano kupitia Safaricom bila kuwa na laini ya Safaricom.
Ulivyosema kuhusu arrangement ni sawa, ila si lazima kupewa sim card ya kule uendako. Ila hao uliowataja husema kama wana huduma ya ku-roam na nchi ambazo waweza kupata huduma hiyo.Unapata safaricom kama ukiwa na mtandao wowote? Yaani ukiwa na Tigo, Airtel, halotel n.k?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mahali nilisema lazima uwe na line ya kule uendako, ni kwamba unapotoka kwenda nchi nyingine ili uweze kufanya roaming ni lazima mtandao wako uwe na ushirika na mtandao wa kule unakoenda ndio hao roaming partners. Kwa maana hiyo basi, mgeni akija kwetu na line ya mtandao wake anaotumia kwenye nchi yake ili aweze kufanya roaming lazima awepo roaming partner ambaye anaweza kuwa Voda, Tigo etc vinginevyo hatapata mawasiliano. Hivi ndivyo ninavyojua mimiUlivyosema kuhusu arrangement ni sawa, ila si lazima kupewa sim card ya kule uendako. Ila hao uliowataja husema kama wana huduma ya ku-roam na nchi ambazo waweza kupata huduma hiyo.