Laini za simu zaidi ya 18,000 zafungiwa kwa uhalifu

Laini za simu zaidi ya 18,000 zafungiwa kwa uhalifu

Donnie Charlie

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2009
Posts
16,908
Reaction score
19,123
Dodoma. Serikali ya Tanzania imefungia laini za simu 18,622 baada ya kubainika kufanya matukio ya uhalifu nchini.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndungulile leo Jumatano Julai 28 2021 wakati akifungua mkutano wa mapato na matumizi wa wizara na taasisi zake.

Amesema kuwa laini hizo ziligundulika katika kipindi cha kati ya Aprili hadi Juni mwaka huu na kuwataka Watanzania kuhakiki usajili wa laini zao.

“Tumevizuia vitambulisho vilivyotumika kusajilia laini 14,768, ndio maana niwaombe sana Watanzania tuendelee kufanya uhakiki wa laini zetu ili hayo yasije yakajitokeza,”amesema.

Amesema watu wamekuwa wakisajiliana laini za simu kwa kutumia vitambusho vya wengine.


Chanzo: Mwanainchi
 
Serikali ya Tanzania imefungia laini za simu 18,622 baada ya kubainika kufanya matukio ya uhalifu nchini.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndungulile leo Jumatano Julai 28 2021 wakati akifungua mkutano wa mapato na matumizi wa wizara na taasisi zake.

Amesema kuwa laini hizo ziligundulika katika kipindi cha kati ya Aprili hadi Juni mwaka huu na kuwataka Watanzania kuhakiki usajili wa laini zao.

“Tumevizuia vitambulisho vilivyotumika kusajilia laini 14,768, ndio maana niwaombe sana Watanzania tuendelee kufanya uhakiki wa laini zetu ili hayo yasije yakajitokeza,”amesema.

Amesema watu wamekuwa wakisajiliana laini za simu kwa kutumia vitambusho vya wengine.

Chanzo: Mwananchi
 
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndungulile amesema serikali imezifungia laini za simu 18,622 baada ya kubainika kufanya matukio ya uhalifu nchini. Ameyasema hayo hii leo wakati akifungua mkutano wa mapato na matumizi ya wizara yake.
 
Serikali ndio tatizo.
Waweke sheria Kila Kitambulisho kisajiri laini 1 tu kwa kila Mtandao, na hiyo namba haibadiliki kama TIN
 
Serikali ndio tatizo.
Waweke sheria Kila Kitambulisho kisajiri laini 1 tu kwa kila Mtandao, na hiyo namba haibadiliki kama TIN
Utaweza kweli kuwa na line 1?

kuna maeneo hakuna network
 
Wamefungia lini? Mbona tunapokea tu sms za ile pesa tuma huku? waangalie loop hole kwa halotel na ttcl ndio namba zinatumika sana kutuma sms za aina hiyo.
 
Dodoma. Serikali ya Tanzania imefungia laini za simu 18,622 baada ya kubainika kufanya matukio ya uhalifu nchini.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndungulile leo Jumatano Julai 28 2021 wakati akifungua mkutano wa mapato na matumizi wa wizara na taasisi zake.

Amesema kuwa laini hizo ziligundulika katika kipindi cha kati ya Aprili hadi Juni mwaka huu na kuwataka Watanzania kuhakiki usajili wa laini zao.

“Tumevizuia vitambulisho vilivyotumika kusajilia laini 14,768, ndio maana niwaombe sana Watanzania tuendelee kufanya uhakiki wa laini zetu ili hayo yasije yakajitokeza,”amesema.

Amesema watu wamekuwa wakisajiliana laini za simu kwa kutumia vitambusho vya wengine.


Chanzo: Mwanainchi
Kwahiyo, ni kufungia tu, wamiliki wake wanabaki salama?
 
Huenda nao wa tuma kwa namba hii ni watu wasiojulikana, Ni kama TCRA imekosa mbinu ya kuwawajibisha makampuni ya simu.
Ajabu sana. Kuna ile watu kuuziana simu za wizi. Raia akienda VIZURI polisi, fasta simu inatafutwa kwa ushirikiano wa TCRA na polisi. Siku hizi imekuwa kamradi fulani hivi. Lakini, hawa watuma msg za kitapeli hawakamatiki.
 
Nimesoma kuwa line millioni 18 zimehusika kwenye uhalifu, sasa wahalifu wenyewe wako wangapi? kama kila mhalifu alikuwa na line mbili maana yake watanzania milioni kumi ni majambazi, yaani kila watu watano mmoja ni jambazi. kama ni kweli basi nchi yetu sio salama kabisa, kama jeshi letu lingekuwa imara maana yake hawa wote wangekuwa jela, je jela zetu zinao uwezo wa kuweka hawa wote, au tuje na mpango wa kujenga jela mpya, kwahili tunaomba ufafanuzi zaidi isijekuwa hii habari imetiwa chumvi

 
Nimesoma kuwa line millioni 18 zimehusika kwenye uhalifu, sasa wahalifu wenyewe wako wangapi? kama kila mhalifu alikuwa na line mbili maana yake watanzania milioni kumi ni majambazi, yaani kila watu watano mmoja ni jambazi. kama ni kweli basi nchi yetu sio salama kabisa, kama jeshi letu lingekuwa imara maana yake hawa wote wangekuwa jela, je jela zetu zinao uwezo wa kuweka hawa wote, au tuje na mpango wa kujenga jela mpya, kwahili tunaomba ufafanuzi zaidi isijekuwa hii habari imetiwa chumvi

Ni elfu 18,622 na siyo milioni 18.
 
Safi sana, wale matapeli walikuwa wanatusumbua sana.
 
Hawa Polisi kitengo cha mawasiliano pamoja na TCRA wameshindwa kuwabaini wahalifu kabisa?
 
Nimesoma kuwa line millioni 18 zimehusika kwenye uhalifu, sasa wahalifu wenyewe wako wangapi? kama kila mhalifu alikuwa na line mbili maana yake watanzania milioni kumi ni majambazi, yaani kila watu watano mmoja ni jambazi. kama ni kweli basi nchi yetu sio salama kabisa, kama jeshi letu lingekuwa imara maana yake hawa wote wangekuwa jela, je jela zetu zinao uwezo wa kuweka hawa wote, au tuje na mpango wa kujenga jela mpya, kwahili tunaomba ufafanuzi zaidi isijekuwa hii habari imetiwa chumvi

Mkuu umesoma vizuři kweli?
 
Back
Top Bottom