The Kop
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 209
- 93
wasalaam wana jf...! miongoni mwa vitu vinavyonivutia hapa jf ni ´avators´! nimekuwa nikitumia muda mrefu kuangalia ávator´ ya AFRODENZI...kwa kweli anaonekana kuwa mrembo haswa, ana ´lips´ nzuri, macho ya kuita, shavu lilobonyea.......natamani kukutana naye, na anaonekana ni ´interlect´ kutokana na anavyodadavua mada anuai hapa jamvini....! ni hayo tu....!