Laiti Serikali ingejua yaliyo moyoni mwa nguli wa Riadha Filbert Bayi wasingemkumbatia. Huyu mwamba ndiye muuaji wa vipaji vya riadha Tanzania

Laiti Serikali ingejua yaliyo moyoni mwa nguli wa Riadha Filbert Bayi wasingemkumbatia. Huyu mwamba ndiye muuaji wa vipaji vya riadha Tanzania

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!

Moja kwa moja kwenye mada!

Nikiwa O - level nimesoma na mwamba mmoja jamaa alikuwa anakimbia mita 100 kwa sekunde 13-15 tu. Ikumbukwe Bolt alikuwa anakimbilia kwa sekunde 9-10. Huyu wa sekunde 13-15 ni mtoto wa familia maskini, alikuwa mwanafunzi busy na masomo mbio anakimbia kwenye mashindano tu.

Huyu kijana kama atatumia muda wake wote au muda mwingi kupiga tizi sure atafika mbali. Ajabu ni kwamba jamaa hakubahatika hata kufika popote. Viongozi ndio mwiba.

Soma Pia:
Kijana mwingine wa mbio ndefu jirani yetu kule Lindi miaka kama 10 nyuma aling'ara na aliweza kuvunja rekodi za manguli wa riadha wa Dunia akiwa hapahapa Bongo. Tulitegemea angefika mbali. Kijana akiwa kwenye Kambi kuelekea Olympic huyo niliyemtaja juu akamla kichwa kwa sababu za hapa na pale.

Hofu ni kwamba angevunja rekodi yake na labda angekosa heshima anayoipata sasa.

Serikali vijana hawana pa kusemea dukuduku zao. Mchunguzeni huyu Mzee. Mtanishukuru.

Simbu sasa anang'ara kwakuwa ametokea jeshini hivyo kapata fursa za nje kupitia mgongo wa jeshi na sasa hawezi kumzuia.

Filbert Bayi achunguzwe na ikibainika ni kweli alifanya hujuma yoyote ashitakiwe. Au awekwe pembeni kwa njia ya amani halafu tuone matokeo ya miaka 5 bila yeye.
 
Akiona ana kipaji apitie Jkt ni rahisi kutoboa
Japo huko kote kumejaa ubabaishaji mkubwa na kama ulivyosema watu wanaogopa kupoteza influence zao
Hivi unadhani kupata nafasi ya JKT ni rahisi kihivyo?

Unajua wilaya moja ina maafisa wangapi, je kila mmoja alete kijana wake zitabaki nafasi ngapi?

Hizo chache zitakazobaki bei yake sio ya kitoto.

Nimeenda JKT. Kila unayemdadisi aidha Kuna kiongozi kampa shavu au katoa pesa nyingi.

Hii nchi hapana
 
Jamani tuwe makini sana na vitu kama hivi,
Unaweza kujikuta unaingia kwenye matatizo bila kupenda na ndio shida ya watanzania wengi na inatuponza sana.
Unakuta mtu yupo seriously kabisa anasoma comment yangu badala andike ya kwake 😅
 
Back
Top Bottom