Laiti Serikali ingejua yaliyo moyoni mwa nguli wa Riadha Filbert Bayi wasingemkumbatia. Huyu mwamba ndiye muuaji wa vipaji vya riadha Tanzania

Laiti Serikali ingejua yaliyo moyoni mwa nguli wa Riadha Filbert Bayi wasingemkumbatia. Huyu mwamba ndiye muuaji wa vipaji vya riadha Tanzania

Hello!
Moja kwa moja kwenye mada!
Nikiwa O - level nimesoma na mwamba mmoja jamaa alikuwa anakimbia mita 100 kwa sekunde 13-15 tu. Ikumbukwe Bolt alikuwa anakimbilia kwa sekunde 9-10. Huyu wa sekunde 13-15 ni mtoto wa familia maskini, alikuwa mwanafunzi busy na masomo mbio anakimbia kwenye mashindano tu.
Huyu kijana kama atatumia muda wake wote au muda mwingi kupiga tizi sure atafika mbali. Ajabu ni kwamba jamaa hakubahatika hata kufika popote. Viongozi ndio mwiba.
Kijana mwingine wa mbio ndefu jirani yetu kule Lindi miaka kama 10 nyuma aling'ara na aliweza kuvunja rekodi za manguli wa riadha wa Dunia akiwa hapahapa Bongo. Tulitegemea angefika mbali. Kijana akiwa kwenye Kambi kuelekea Olympic huyo niliyemtaja juu akamla kichwa kwa sababu za hapa na pale.
Hofu ni kwamba angevunja rekodi yake na labda angekosa heshima anayoipata sasa .
Serikali vijana hawana pa kusemea dukuduku zao. Mchunguzeni huyu Mzee. Mtanishukuru.
Simbu sasa anang'ara kwakuwa ametokea jeshini hivyo kapata fursa za nje kupitia mgongo wa jeshi na sasa hawezi kumzuia.
Filbert Bayi achunguzwe na ikibaonika ni kweli alifanya hujuma yoyote ashitakiwe.
TOC yote haifai

Ni wahuni, selfish and talents killers
 
Bypass mambo kama haya kijanja sana wala huna sababu ya kumlalamikia mtu yeyote yule.

Unafahamu Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters Network (PSN)?

Channel ndoto zako kupitia platforms zake hakika hakuna kitakachokuzuia.

Shiriki kwenye Programs zake mbalimbali yasio na idadi tena kwa muda wako unaona inafaa. Utaonekana.

Na kwa niaba ya Rais hakuna wa kukuzuia kwa figisu kwenye jambo lolote lile. Ushindwe mwenyewe tu.
 
Bypass mambo kama haya kijanja sana wala huna sababu ya kumlalamikia mtu yeyote yule.

Unafahamu Mtandao wa Wafuasi Binafsi wa Rais yaani President Supporters Network (PSN)?

Channel ndoto zako kupitia platforms zake hakika hakuna kitakachokuzuia.

Shiriki kwenye Programs zake mbalimbali yasio na idadi tena kwa muda wako unaona inafaa. Utaonekana.

Na kwa niaba ya Rais hakuna wa kukuzuia kwa figisu kwenye jambo lolote lile. Ushindwe mwenyewe tu.
Sasa hiyo/hizo taasisi ni za kazi gani?
 
Nasikia ndio michezo ya Bayi hiyo, akigundua una kitu na utafika mbali lazima atakuletea figisu na kukukata kichwa.
Kwani yeye ndiye mwenye maamuzi yote na kwa muda wote? Hata kama aliletea heshima kubwa taifa letu lakini kama hakuna mabadiliko ya uongozi na njia ya wazi ya kuwa-recruit na kuwachuja wanariadha basi kuna tatizo kubwa.
 
Na nyie mnapenda sana kukumbatia wazee
Huyu si awekwe pembeni tu
Kwenye siasa wazee ndio maana kila mahali wamo
Vijana acheni hizo wakataeni hawa waandikeni kwenye blogs zenu
Wanariadha wakijulikana wana vibaji majuu hupelekwa college za maana ili wawe top baadae
Inabidi serikali iamue moja aidha warudishe Riyadha mashuleni au wawape fursa vijana jeshini na tuwe na michezo ya aina zote nchini
Mzee akalee wajukuu huyo
 
Kwani JWTZ hawajamwona?
Watamwonaje wakati ni yeye anapitisha watu
Kwa kuanzia NAFIKIRI angewekwa mtu senior ambaye sio mkimbiaji kuhakikisha tu aliyeshinda ndiye anapewa nafasi ya kuwakilisha Nchi; Kuangalia Dakika & Sekunde kwa usahihi kinachotakiwa ni uelewa tu wa kawaida wa namba LAKINI PIA, milango ya kureport figisu figisu iwe wazi
 
Alipitia JKT alifukuzwa sasa ni winga Kariakoo.
Alimpiga mjeshi si unajua wajeshi wetu. Kama umepitia jeshi utajua nazungumza nini
Changamoto inaanzia hapo alipompiga mjeda!.

Yote kwa yote maisha bado yanaendelea, hakupaswa kukata tamaa, pia hana washauri huyo dogo maana hapo ndipo kile kipaji Mungu kampa huwa kinaondoka au kupewa mwingine.

kama upo naye jirani mpe huu ujumne; hakuna mafanikio rahisi, anapaswa kupambana haswa, yawezekana kufukuzwa huko JKT ni njia yake kuelekea kwingine.

Mfano alipokuwa anafukuza upepo na kuonekana anafanya vizuri alipaswa kuambiwa huko mbele kuna mwanga ajipe bidii huko huko kwenye kumenya mbuga.

Mfano, katika kumenya mbuga kupitia hizi marathon uchwara zetu rukuki angekuwa anapata hamasa kwenye zile zawadi, then kama angeondoka anafanya vizuri sana, kupitia pesa ambazo amepata angeunga juhudi ukavuka boda kokote tu, kwa mzee Ruto au Ethiopia.

Kajikabidhi kwa mashirika/tasisi zao za riadha na waambie upo vyedi kukata upepo na unataka kupeperusha bendera ya nchi yao.

Usije hapa kulalamika wkt dunia haina kufuri ipo wazi buana.
 
Changamoto inaanzia hapo alipompiga mjeda!.

Yote kwa yote maisha bado yanaendelea, hakupaswa kukata tamaa, pia hana washauri huyo dogo maana hapo ndipo kile kipaji Mungu kampa huwa kinaondoka au kupewa mwingine.

kama upo naye jirani mpe huu ujumne; hakuna mafanikio rahisi, anapaswa kupambana haswa, yawezekana kufukuzwa huko JKT ni njia yake kuelekea kwingine.

Mfano alipokuwa anafukuza upepo na kuonekana anafanya vizuri alipaswa kuambiwa huko mbele kuna mwanga ajipe bidii huko huko kwenye kumenya mbuga.

Mfano, katika kumenya mbuga kupitia hizi marathon uchwara zetu rukuki angekuwa anapata hamasa kwenye zile zawadi, then kama angeondoka anafanya vizuri sana, kupitia pesa ambazo amepata angeunga juhudi ukavuka boda kokote tu, kwa mzee Ruto au Ethiopia.

Kajikabidhi kwa mashirika/tasisi zao za riadha na waambie upo vyedi kukata upepo na unataka kupeperusha bendera ya nchi yao.

Usije hapa kulalamika wkt dunia haina kufuri ipo wazi buana.
Ni kujifungulia Dunia tu
 
Back
Top Bottom