Goodluck TZ
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 1,448
- 661
UMENENA MKUU1.NANA PRODUCED BY NAHREEL
2.NUMBER ONE,NTAMPATA WAPI PRODUCED BY SHED CLEVER
3.MDOGO MDOGO PRODUCED BY TUDD THOMAS
4.KESHO NKUPELEKE NYUMBANI BY MARKO CHALI
5.NATAKA KULEWA BY MANECK
6.MOYO WANGU BY LAMAR
7.NTAREJEA,KAMWAMBIE,BINADAMU,LALA SALAMA BY BOB JUNIOR
MWISHO:HAO JUU NDO MAPRODUCER WAZURI WALIOMNG'ARISHA KWA BEATS NZURI HUYO LAIZER BADO SANA
KOKORO imetengenezwa na [HASHTAG]#abydady[/HASHTAG] akiwa na laizer wa matarumbeta"bado" katengeneza prod fraga mastering akairudia laizer na kokoro kafanya lizer kila kitu
Hle imefanyiwa usahl na [HASHTAG]#abydady[/HASHTAG] isiklize mwsh0nMbona biti ya kokoro kama iko tofauti?
wa matarumbeta hyoLaizer kweli mala nyingi mtu kabla ajataja wasifi ushajua amekua kama Lamar
uzoefu unaonyesha kuwa kazi ya u-producer wa mziki na u-director wa video ni field inayo trend kwa wakati flani na kufifia.siyo ya kudumu kwa mda mrefu.
kwa sasa hivi kibongo bongo,laizer,t touch na nahreel ndio ma-producer ambao wapo kwenye peak.
hawawezi kufifia tu kirahisi kwa kuwa kuna mtu hawapendi.huu ni wakati wao.
na itakapo fika mda wa wao kutoweka ktk game,watatoweka tu maana hakutakuwa na namna
ya kuzuia hali hiyo.
ni sawa na walivyotoweka akina p funk,lamar fish crab,adam juma,john kalaghe na wengineo.entertainment industry ipo hivo.
mleta mada huna haja ya kutoa povu kuhusu huyo laizer.ukifika wakati wa yeye kutoweka ktk game,atatoweka tu.ila kwa sasa ni wakati wake.
UMEL0GWA ET LIZER yuko kwenye peak!!uzoefu unaonyesha kuwa kazi ya u-producer wa mziki na u-director wa video ni field inayo trend kwa wakati flani na kufifia.siyo ya kudumu kwa mda mrefu.
kwa sasa hivi kibongo bongo,laizer,t touch na nahreel ndio ma-producer ambao wapo kwenye peak.
hawawezi kufifia tu kirahisi kwa kuwa kuna mtu hawapendi.huu ni wakati wao.
na itakapo fika mda wa wao kutoweka ktk game,watatoweka tu maana hakutakuwa na namna
ya kuzuia hali hiyo.
ni sawa na walivyotoweka akina p funk,lamar fish crab,adam juma,john kalaghe na wengineo.entertainment industry ipo hivo.
mleta mada huna haja ya kutoa povu kuhusu huyo laizer.ukifika wakati wa yeye kutoweka ktk game,atatoweka tu.ila kwa sasa ni wakati wake.
ni kweli Bob juniour alitisha Sana, pamoja name sheddy clever na tudd1.NANA PRODUCED BY NAHREEL
2.NUMBER ONE,NTAMPATA WAPI PRODUCED BY SHED CLEVER
3.MDOGO MDOGO PRODUCED BY TUDD THOMAS
4.KESHO NKUPELEKE NYUMBANI BY MARKO CHALI
5.NATAKA KULEWA BY MANECK
6.MOYO WANGU BY LAMAR
7.NTAREJEA,KAMWAMBIE,BINADAMU,LALA SALAMA BY BOB JUNIOR
MWISHO:HAO JUU NDO MAPRODUCER WAZURI WALIOMNG'ARISHA KWA BEATS NZURI HUYO LAIZER BADO SANA
Laizer ni Muha? Sio jamii ya kifugaji masai?Kaka umeongea point sana sema uwasilishwaji wake tu ndo umekaa kishari iv.....ukweli beat za uyu muha zinafanana sana afu domo cjui hajalingua hilo
Au za Yamoto band ...Word beat zake zinafanana na matarumbeta hayakosi kila beat..
Atakuwa kama shirko na beat za berryblack
Laiza ni down to earth tunafahamiana sana maana nae ni mteja wa "wajasiriamali" ambianceWe kweli unatokea kanda maalumu yani kigoma alipotoka Laizer, sasa mwambie laizer aende shule ya uproducer
kama kungekuwa na uwezo wa kufuta nyuzi, basi huu uzi wako ungeufutilia mbali.. maana si kwa hits songs za lizer kwa kweli..[emoji854][emoji854]Huyu laizer uwezo wake ni mdogo mdogo sana, beat zake zinafanana, hivi laizer anaweza tengeneza beat kama ya pana au diana, kiukweli huyu producer amenichosha na anapoelekea ataua WCB.
Diamond kafanye ngoma na kina t touch, majani, nahreal , yule aliyetengeneza over boy, etc, au nenda hata nigeria huyo mshamba laizer mwache awatengenezee beat maandagroung kina queen darlin na rayvan na huyo mugacherere cjui q boy.
Pia rayvanny habadiliki staili yakeya kuimba ni moja, bora hata ya harmonize mara mia, cheki kwetu, natafuta kiki, kijusho, mugachere utasema ni nyimbo moja, kwenye salome ndo umejitahidi kubadilika.
Laizer uondoke WCB hatukutaki, au tutakupangia kazi ingine,
Kwaio mawese yanalimwa?Mpe maneno,Watu wana wivu wa kike,eti hajui biti,,Rudi kigoma kalime mawese.
lizer kilaza kwel na beat zak kam za msibaaa yan kiukwel ladha ile ile tu uwezo hanaHuyu laizer uwezo wake ni mdogo mdogo sana, beat zake zinafanana, hivi laizer anaweza tengeneza beat kama ya pana au diana, kiukweli huyu producer amenichosha na anapoelekea ataua WCB.
Diamond kafanye ngoma na kina t touch, majani, nahreal , yule aliyetengeneza over boy, etc, au nenda hata nigeria huyo mshamba laizer mwache awatengenezee beat maandagroung kina queen darlin na rayvan na huyo mugacherere cjui q boy.
Pia rayvanny habadiliki staili yakeya kuimba ni moja, bora hata ya harmonize mara mia, cheki kwetu, natafuta kiki, kijusho, mugachere utasema ni nyimbo moja, kwenye salome ndo umejitahidi kubadilika.
Laizer uondoke WCB hatukutaki, au tutakupangia kazi ingine,